Jipatie Qsat Q23G HD satellite FTA receiver

Jipatie Qsat Q23G HD satellite FTA receiver

Mwl tafadhali nahitaji ac ntapataje na je vp gharama zake?
 
ac ntapataje
  • Wasiliana nami kwa na. 0717 54 57 62 ili kupata account utakayo hitaji
je vp gharama zake?
  • Ni tsh 60'000 kwa ACAMHD ya miezi sita.
  • Ni tsh 85'000 kwa CCCAM ya miezi mitatu
  • Ni tsh 45'000 kwa IPTV account ya mwaka mmoja

Mwl tafadhali nahitaji ac ntapataje na je vp gharama zake?
 
  • Zinapatikana
  • Call: 0717 54 57 62

I think this is the right time to use it. I will test with one and buy it more after being satisfied with the quality. I hope it wont let me regret.
 
ac ntapataje
  • Wasiliana nami kwa na. 0717 54 57 62 ili kupata account utakayo hitaji
je vp gharama zake?
  • Ni tsh 60'000 kwa ACAMHD ya miezi sita.
  • Ni tsh 85'000 kwa CCCAM ya miezi mitatu
  • Ni tsh 45'000 kwa IPTV account ya mwaka mmoja

CCCAM tayari imerudi hewani?Na cccam ipi hiyo ambayo imerudi hewani
 
I think this is the right time to use it. I will test with one and buy it more after being satisfied with the quality. I hope it wont let me regret.

Utajuta watumiaji wa hivi vitu wamevipotezea.promotion kubwa uka hamna kitu.usijaribu haya madude ni upuuzi mtupu ila wauzaji wana kauli nzuri.
 
Utajuta watumiaji wa hivi vitu wamevipotezea.promotion kubwa uka hamna kitu.usijaribu haya madude ni upuuzi mtupu ila wauzaji wana kauli nzuri.

Naku-support hapo mkuu mimi changu nmekitupa store sa hivi kinapigwa na vumbi tu
 
ACCOUNTS ZILIZOPO NA GHALAMA ZAKE

60'000 kwa ACAMHD ya miezi sita.
85'000 kwa CCCAM ya miezi mitatu
45'000 kwa IPTV account ya mwaka mmoja

TUMIA MOJA YA MAWASILIANO YANGU KWENYE POST NO.1

KARIBU
 
ACCOUNTS ZILIZOPO NA GHALAMA ZAKE

60'000 kwa ACAMHD ya miezi sita.
85'000 kwa CCCAM ya miezi mitatu
45'000 kwa IPTV account ya mwaka mmoja

TUMIA MOJA YA MAWASILIANO YANGU KWENYE POST NO.1

KARIBU

Vp CCCAM ipo hewani? au ni ipi unayoisema?
 
MW1_RCTads.png
 
New IPTV - VIP2 INTERNET Bundle
  • 5GB - TSH 10'000
  • 10GB - TSH 15'000
  • 15GB - TSH 20'000
Vifirushi vyote ni kwa mwezi,

Waweza kujiunga mara nyingi kadri ya mahitaji yako wakati wowote - Hautosubiri hadi mwezi uishe.

Hizi package waweza kutumia pia kwenye simu za mkononi au PC.

Mawasiliano
  • JF PM
  • Skype: mw1rct
  • Whatsapp: +255 784 496 856
  • Au piga 0717 54 57 62
 
Mwl naomba kufahamu IPTV inahitaji GB ngapi za internet kwa mwezi (ukinipa kwa makadirio ya masaa mtu anayoangalia tv kwa siku itakua poa).. Lets say unaangalia masaa sita kwa siku..
Thanks
 
Mwl naomba kufahamu IPTV inahitaji GB ngapi za internet kwa mwezi (ukinipa kwa makadirio ya masaa mtu anayoangalia tv kwa siku itakua poa).. Lets say unaangalia masaa sita kwa siku..
Thanks
  • Habari
  • Kwa SD TV channel si chini ya 350MB kwa saa 1.

    Kwa siku chukulia unatazama TV kwa masaa 2
    2 x 350mb = 700MB

    Hivyo kwa mwezi ni 30 * 700MB = 21000MB = 21GB

    Ila kiuhalisia muda unaotumia kwenye TV kwa siku huwa hauzidi saa 1 - Kwa mfanyakazi

    Labda kwa siku za Jumamosi na JUmapili ndio utatumika muda mwingi kidogo katika TV
  • ""unaangalia masaa sita kwa siku"" - Tumia Hizo estimate hapo juu, kupata hesabu ya GB kwa masaa 6
  • KARIBU
NB: IPTV huwa ni ziada katika IKS Receiver au IPTV Box - Na zaidi huwa ni kwa target ya baadhi ya vipindi vya TV mfano WWE au Live sports.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom