Jipatie Qsat Q23G HD satellite FTA receiver

Jipatie Qsat Q23G HD satellite FTA receiver

Mwl.RCT
Nimekuelewa sana! Sasa kwani kwasasa hakuna TP zingine walizotoa ili kupata chaneli hizo za beIN na wenzake kwa mfumo uleule uliokuwepo?
Hakuna TP zingine zitakazo kuwezesha kuona BeIN Sport 1 & 2 kwa sasa, kama ilivyokuwa awali

Ili kupata BeIN Sport 1 - 15 , MBC Sport na channel zingine za michezo nunua IPTV Account ambayo utaweka kwenye decoder yako.

IPTV Account ni TSH 45'000 kwa mwaka mmoja

Kama una Dish kubwa na unataka FTA tumia hizi taarifa [ Kama upo Dar ]:

Satellite: 7W NILESAT 102 | NILESAT 201
Elevation: 36.4°
Azimuth (true): 276.5°
Azimuth (magn.): 278.8°
Transponder: 11938 V 27500
Channel List: MBC 1, MBC 2, MBC 3, MBC 4, MBC Action & MBC Max.


Pia utapata hizi Channel kama FTA : Althawra TV, MBC Pro Sports 1,MBC Pro Sports 2, MBC Pro Sports 3, MBC Pro Sports 4

KARIBU
 
THANKS! Mwl.RCT
TATIZO LINAKUJA KWA SASA NATUMIA DECODER YA WIZ TECH 9990 FULL HD, KWANI HII NAYO INAWEZA KUPOKEA ACCOUNT HIYO YA IPTV?
 
THANKS! Mwl.RCT
TATIZO LINAKUJA KWA SASA NATUMIA DECODER YA WIZ TECH 9990 FULL HD, KWANI HII NAYO INAWEZA KUPOKEA ACCOUNT HIYO YA IPTV?
  • Hapana, Haiwezi tumia IPTV
  • Supported Model: Qsat series, Xmaster 2 & 3 , Xman G8, Speed HDs1, STR 499M & H, Android TV box (utapewa ADDON) , VLC Player (kwa wadu wanaopenda kutumia laptop) , Any Android Tablet, etl
  • Karibu
 
mw1tct.png

 
Mwl. RCT vipi kwa hiyo internet ya VIP ambayo ni tshs. 20,000/= IPTV haitokata kabisa na channel zote zitakuwa hewani kabisa full time?
 
Mwl. RCT vipi kwa hiyo internet ya VIP ambayo ni tshs. 20,000/= IPTV haitokata kabisa na channel zote zitakuwa hewani kabisa full time?
  • Inategemea mahala ulipo
  • Je kuna 3g ya VIP Internet au ni 2g?
  • Nimekutumia ufafanuzi zaidi kwenye PM
 
Mwl vipi account ya spycam kuonyesha canalsat22w inafanya kazi au imestop
 
coollogo_com_790813.png

KUHUSU QSAT Q28G - KWA UFUPI

1. Ni MPEG4/Full HD, DVB-S2 & T2 Combo, GPRS/3G - IKS Receiver hivyo utatumia Satellite Dish na Antena ya Kawaida (Angalia Picha hapo Chini)

edited1.jpg

2. Ina account ya miezi sita-inayofungua Eutelsat 36E, Pamoja na canalsat 22w

3. Yaweza kutumika kwa account zifuatazo: Spycam (Default Account), AvatarCam, CCcam, NewCam & DqIPTV

4. Ina Edit BISS KEY - Hivyo waweza kuzipata channel kama: Bein Sport 1HD,Bein Sport 2 HD,M6 HD,W9, BFM TV ,EQUIDA PRO & HUSTLER (adult Channel) ambazo utazipata Eutelsat 7A at 7° East

5. Utumia kama FTA receiver hivyo ukapata Local Channel na Tv channel zingine kwa kutumia antena ya kawaida

antena.jpg

6. IPTV Channel- Utapata Channel zaidi ya 300,Hapa inatakiwa internet ya 3G,

7. Weza unga internet katika QSAT Q28G kwa kutumia (i) 3G NERTWORK (ii) LAN INTERNET (iii) GPRS. (iv) WIFI NERTWORK [ Inatakiwa uwe na wireless adapter]

8. Waweza kutembelea site kama YOUTUBE, REDTUBE, YOUPORN kwa kutumia receiver hii.
Q-SAT Q28G Full HD GPRS dvb-t2+s2 combo satellite receiver



edited2.jpg

Basic Info

Model NO.: q-sat q28g
Model: Q-Sat Q28g
1080P Full HD PVR: Support
Patch: Support
GPRS: Yes
3G: Yes
USB WiFi:Yes
Chipset: Sunplus 1512
DVB-T2+S2 Combo: Support
Youtube/Youpron: Yes
IPTV: Yes

Specification

* Easy mode setting to be Sharring Receiver/GPRS dongle/Sat Receiver
* Internet Key Sharing(IKS) through Cell phone network
* Plug and play SIM card support, phone date time, TV night time
* Fast Key update and channel change speed;
* Easy tool for Sat receiver software upgrade through RS232 port or USB(SAT mode)
* Fully DVB-S2/MPEG-4/H. 264 Decoder
* 8000 channels memory space (TV + Radio)
* Supports DiSEqC 1.0/1.1/1.2 and USALS
* Selectable output for 1080P, 1080I, 720P and 576P format
* Support EPG, display present / next TV program / 7 days EPG
* Support up to DiSEqC 1.0/1.1/1.2 & USALS
* User-friendly remote control colored function buttons
* USB multimedia files playback & PVR
edited3.jpg

UPATIKANAJI WA QSAT Q28G

  • NI TSH 266'000 TU
  • KAMA UPO MKOANI NA HUNA NDUGU, JAMAA, AU RAFIKI HAPA DAR - BASI UTATUMIWA KWA NJIA YA BASI NA UTALIPIA TSH 10'000 TU
coollogo_com_29692313.png

JE KUNA AMBALO HUJAELEWA VYEMA KUHUSU QSAT ; TUMIA HAYA MAWASILIANO KUWASILIANA NAMI
 
Ancloud P5 Android Quad Core Iptv Media Box – Just What You Need!!!
Code:
 http://www.lemmymorgan.com/ancloud-p5-android-quad-core-iptv-media-box-just-what-you-need/
 

QSAT Q28G & Q26G - HAS 3 ACCOUNTS IN ONE DECODER


This is a brief official proclamation. This is to notify all users of qsat q26g and q28g that their decoder is capable of opening three different satellite packages from three separate satellite position.

What am saying in essence is that your qsat q26g and q28g now has the capabilities of opening 3 separate packages. This 3 in one feature is limited only to q26g and q28g running the latest available software. It is not supported on any other model of qsat decoders for now.



WHICH SATELLITE / CHANNELS IS Q28G CAPABLE OF OPENING?



  1. Qsat q28g can open t2 / terrestrial channels only of gotv for now( I have received complaints that this has not been working fine recently)
  2. Qsat q28g has the capabilities of opening dst* multichoic* Africa channels on 36.E(this is currently stable though some channels are off)
  3. Qsat q28g can now open dst* channels south africa on 68E
SOURCE
Code:
http://www.lemmymorgan.com/qsat-q28g-q26g-now-has-3-accounts-in-one-decoder/
iksmw1rct.png
 
NEW FOOT BALL CHANNEL [ Premier League, Laliga & Seria A ]


TV Channel Name: Eritrea TV2


Sat: Arabsat-5A @30.5 East


TP: 12606 V 2589

FEC: 3/4


Biss KEY: AB CD 00 78 43 21 00 64


SID: 0064
 
NEW FOOT BALL CHANNEL [ Premier League, Laliga & Seria A ]


TV Channel Name: Eritrea TV2


Sat: Arabsat-5A @30.5 East


TP: 12606 V 2589

FEC: 3/4


Biss KEY: AB CD 00 78 43 21 00 64


SID: 0064

Ipo katika mfumo wa ku au c band?
Na dishi linalotumika ni la ukubwa gani?
 
Ipo katika mfumo wa ku au c band?
Na dishi linalotumika ni la ukubwa gani?
Utatumia KU- Band, Dish ft6

KAMA UPO DAR TUMIA HIZI INFO.

Satellite: 30.5E ARABSAT 5A
Elevation: 77.0°
Azimuth (true): 307.6°
Azimuth (magn.): 309.9°


KARIBU
 
Mwl naomba nielekeze duka hapo Dar wanalouza diseq njia nane nataka nimwelekeze rafiki yupo huko aniletee tafadhari.
  • Makutano mtaa/barabara ya Uhuru na Nyamwezi
  • Duka la pili - kati ya maduka manne makubwa ya vifaa vya umeme/ or electronics
  • Wanauza kati ya TSH 20'000 - 25'000
TAHADHALI: Iwapo utanunua Diseqc switch ya njia nne HAKIKISHA unaikinga vyema kwa plastic/ nylon ili isinyeshewe ; na kuepuka short, sababu ziko sensitive sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom