Jipatie Qsat Q23G HD satellite FTA receiver

Jipatie Qsat Q23G HD satellite FTA receiver

  • Ni kweli kwa acount ya AvatarCam
Je umewahi tumi moja kati ya hizi account kwenye device yako
  1. CCCAM
  2. IPTV
  3. DQCAM
Je unazizungumziaje hizi account?, Je zinaganda ganda kama ulivyosema hapo juu?.
Karibu tushirikishane uzoefu na changamoto ya hizi Receiver

Nauliza hiyo CCCAM inafungua channel za canalsat Reunion
 
Hivi wakuu nikitaka kuunganisha receiver ya Q23Sat nitumie wifi au moderm nafanyaje!
Hapa kuna mambo mawili ya kujifunza
  • Jinsi ya kuunga USB Modem katika qsat
  • Jinsi ya kuunganisha wifi katika qsat
MAHITAJI

  1. Modem ya ZTE [Inapendekezwa MF190] au HUAWEI[Napendekeza E303]
  2. Compatible WiFi Adapter
JINSI KUUNGANISHA MODEM
  1. Chomeka modem yako katika USB Port [ Kwa mbele au Nyuma ]
  2. Kwenye remote Bonyeza MENU >> SETTINGS >> ETHERNET CONFIG >> Link Type Chagua 3G NETWORK
ft8UJd

>> Kwenye CONFIG chagua nchi yeyote ambayo APN yake ni "internet" , Mfano: weka Azerbaijan

SR7yR8

3. Bonyeza Buttone ya blue LINK / SHUTDOWN , utajitokeza ujumbe "SUCCESSFUL CONNECTED"
Tayari umefanikiwa kuunga qsat kwa internet kwa kutumia MODEM yako
Pia tembelea hii Link kuna maelezo ya ziada kuhusu modem |> https://www.jamiiforums.com/tech-ga...-kuhusu-decoder-ya-qsat-q23.html#post10371403

JINSI YA KUUNGANISHA WiFi

  • Kwenye remote Bonyeza MENU >> SETTINGS >> ETHERNET CONFIG >> Link Type Chagua WIFI NETWORK​
zq59HZ


  • Inatakiwa uwe na compatible wifi adapter kama hii pichani, mfano hii pichani, ikiwa imechomekwa kwenye USB port upande wa mbele au nyuma wa qsat yako
    6Zd9gP
  • Pia inatakiwa uwe na wireless router au waweza tumia simu yako kama hotspot
Ndugu Micro E coli bila shaka nitakuwa nimejibu swali lako.
KARIBU
 
Last edited by a moderator:
Ni bei gani hiyo decoder na CCAM account?
BEI YAKE

  • Qsat Receiver + AvatarCam HD [1 year Account] = TSH 250'000
  • Qsat Receiver + AvatarCam HD [1 Year ] + CCCAM Account[ 3 Month ] = TSH 285'000
KARIBU
 
  • Ni kweli "scramble time all the time" hii kwa account ya AVATARCAM
AVATARCAM ACCOUNT
  • Ni default account, na huwa ni ya mwaka mmoja
  • Haiko stable kutokana na servers kuwa down muda mwingi
  • Avatar Inatumia server ya kichina - tofauti na cccam ni server za USA
HIVYO ILI KUFURAHIA CHANNEL ZOTE
  1. Pata accouny ya CCCAM
  2. Utalipia kila baada ya miezi mitatu(3)
  3. Kumbuka hii cccam inatumika katika receiver zingine mfano STRONG STR 4922A, inatumika pia bara ulaya na malekaniu, just google CCCAM utaona habari yake
Kumbuka q23g imetengenezwa itumie IPTV, CCCAM, MGCAM, NEWCAM, pamoja na hiyo AVATARCAM ambayo ipo down
  • Call/sms/whatsaoo 0784 496 856 upate account yako ya CCCAM sasa
  • ​KARIBU

Ndg nisaidie,hii cardsharing software kama Avatarcam, CCCAM na nyinginezo je, ni biashara halali au sio halali?
 
nikilipa 285,000 napata mpaka dish?

Bila ya dish. Dish wewe utanunua.
Dish dogo linauzwa tsh 35'000, KU LNB tsh 7'000 , na cable tsh 9'000.
Pia kuna ghalama ya fundi ambaye atakufungia dish na kukamilisha settings zote.

Ila kama unadish lolote mfano la azam au zuku basi hizo ghalama za ununuzi wa dish unaziondoa.

Karibu
 
Naomba nisichokwe lakini mimi niko interested sana na hii kitu. Ila kwa kuwa ni mgeni wa hii teknolojia ningeomba nipate maelezo yafuatayo, ukiwa na picha kichwani kuwa mimi ni potential customer.
Nina dish ya dstv (ku), nitahitaji nini ili hiyo decorder iweze kufanya kazi (decorder, account isiyokuwa na scramble,network nzuri kiasi gani edge, 3g?). Naomba na gharama zake.

na je channel zenye ligi ya uingereza, uefa na nyingine muhimu ntapata zote?? eg supersport 3,5,6,7 etc?
 
Naomba kutokuchokwa lakini mimi niko interested na hii kitu. Ila kwa kuwa ni mgeni wa hii teknolojia ningeomba nipate maelezo yafuatayo, ukiwa na picha kichwani kuwa mimi ni potential customer.
Nina dish ya dstv (ku), nitahitaji nini ili hiyo decorder iweze kufanya kazi. Naomba na gharama zake
Unahitajika kupata qsat + 3 month cccam account,

Ghalama yake ni TSH 285'000 tu.

KARIBU
 
Unahitajika kupata qsat + 3 month cccam account,

Ghalama yake ni TSH 285'000 tu.

KARIBU
okay thanks hiyo inajumuisha na installation? na jinsi ya kuwapata wahusika????
 
okay thanks hiyo inajumuisha na installation? na jinsi ya kuwapata wahusika????

Kwakuwa unalo dish tayari lililosetiwa, Utakachofanya ni kuondoa hiyo receiver utumiayo sasa, na kuweka hii.

Kisha uta_scan channel. Na kuanza kutumia.

Hautohitaji fundi.
 
Unahitajika kupata qsat + 3 month cccam account,

Ghalama yake ni TSH 285'000 tu.

KARIBU

so nikiwa na dish la dstv nitalipia 285'000 na itachukua muda gani ili nilipe tena?na nitalipia sh.ngapi?na wapi nitakuwa nalipia?....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom