Jipatie Qsat Q23G HD satellite FTA receiver

Jipatie Qsat Q23G HD satellite FTA receiver

so nikiwa na dish la dstv nitalipia 285'000 na itachukua muda gani ili nilipe tena?na nitalipia sh.ngapi?na wapi nitakuwa nalipia?....
Utalipia tena baada ya miezi mitatu kwa account ya cccam.

Nitakupa namba za kufanyia malipo.

Karibu
 
Vp cccam imerudi? Jana nackia zmezngua.
  • Habari yako ndugu kateka
  • Je umesikia wapi? Tujuze zaidi
Kwa watumiaji wa cccam, wakati wowote ukipata tatizo


  1. Angalia internet connection kama ipo active/ inactive Bonyeza Menu >> Settings >> Ethernet Config >> Config >> Link /Shut Down
lGnPkb
2. Anaglia status ya CCCam account je ipo Connected / Disconnected

80wPRh
KARIBU
 
Last edited by a moderator:
  • Habari yako ndugu kateka
  • Je umesikia wapi? Tujuze zaidi
Kwa watumiaji wa cccam, wakati wowote ukipata tatizo


  1. Angalia internet connection kama ipo active/ inactive Bonyeza Menu >> Settings >> Ethernet Config >> Config >> Link /Shut Down
lGnPkb
2. Anaglia status ya CCCam account je ipo Connected / Disconnected

80wPRh
KARIBU

kuna wadau wanaotumia jana wakat wa game ya uefa wanadai haikuwepo, but labda n hayo masuala ya net.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mimi nimekuwa nikitumia Qsata 11 kwa miezi zaidi ya nane lakini kwa sasa pamoja na setting kuwa kama unavyosema bado sipati channels ta sports kama mwanzo unanishaurije hapo.
 
Mkuu mimi nimekuwa nikitumia Qsata 11 kwa miezi zaidi ya nane lakini kwa sasa pamoja na setting kuwa kama unavyosema bado sipati channels ta sports kama mwanzo unanishaurije hapo.
  • Assumption. 1. Unatumia avatarCam 2. Hujawahi fanyia Update 3. Bado si mtumiaji wa CCCam
Kitu cha kufanya
  1. Update qsat yako utumie latest software, how?. Nitakupa mwongozo
  2. Nunua CCCam account ni TSH 75'000 tu kwa miezi mitatu (3)
Then. Utapata sports channel zote, SS1 - 9, Canal Sport, Maximol 1 & 2
Nipigie kwa msaada zaidi 0784 496 856
KARIBU
 
  • Assumption. 1. Unatumia avatarCam 2. Hujawahi fanyia Update 3. Bado si mtumiaji wa CCCam
Kitu cha kufanya
  1. Update qsat yako utumie latest software, how?. Nitakupa mwongozo
  2. Nunua CCCam account ni TSH 75'000 tu kwa miezi mitatu (3)
Then. Utapata sports channel zote, SS1 - 9, Canal Sport, Maximol 1 & 2
Nipigie kwa msaada zaidi 0784 496 856
KARIBU

Vipi kuhusu estimate ya bundle za internet Kwa kutumia ccam ipoje
 
Vipi kuhusu estimate ya bundle za internet Kwa kutumia ccam ipoje
Habari yako ndugu tusichoke

  • Makadirio Ni kati ya 30Mb - 50Mb
  • Utahitajika kuweka kifurushi cha 2'500/- tu kwa mwezi
  • Ambapo utapa 100Mb [voda] , na 300Mb [airte / Tigo]
KARIBU
 
Last edited by a moderator:
Habari yako ndugu tusichoke

  • Makadirio Ni kati ya 30Mb - 50Mb
  • Utahitajika kuweka kifurushi cha 2'500/- tu kwa mwezi
  • Ambapo utapa 100Mb [voda] , na 300Mb [airte / Tigo]
KARIBU

30 mb tu kWa mwezi mzima kwa matumizi Ya TV?

Na je naweza tumia tunnel guru for that?
 
Last edited by a moderator:
Duuh.
Hii kitu ngoja nikamilishe kwanza mambo flani flani nikutafute mkuu.
Nadhani si waweza kuja niwekea mwenyewe makila kitu kitaa?


  • Ndio ni kiasi kidogo sana cha data kinachotakiwa kwa mwezi < 30 Mb
  • Ili kutumia internet ya tunnel guru inatakiwa uwe na:

  1. Connectify Dispatcher katika PC yako , Ichukue hapa| https://www.jamiiforums.com/jf-stor...ectify-dispatch-7-3-1-30389-full-version.html
  2. Inatakiwe uwe na wifi adapter ambayo utaichomeka katika qsat yako | Angalia picha
6Zd9gP
KARIBU
 
Duuh.
Hii kitu ngoja nikamilishe kwanza mambo flani flani nikutafute mkuu.
Nadhani si waweza kuja niwekea mwenyewe makila kitu kitaa?

Ndio mkuu inawezekana.
Karibu sana !
 
Jipatie QSAT RECEIVER + 3 MONTH CCCAM ACCOUNT FOR ONLY TSH 295'000/-
plvtewhdbhnb95c70hm7.jpg
 
Jipatie QSAT RECEIVER + 3 MONTH CCCAM ACCOUNT FOR ONLY TSH 285'000/-
plvtewhdbhnb95c70hm7.jpg
kwa upande wa bei tu nakubaliana na wewe upo chini sana,ila kiukweli hizi account za AVATAR,CCCAM na nyinginezo zinasumbua kwa sasa,kwa sababu hawa DSTV wana-upgrade saver zao baada ya kuona kuna mchezo mchafu unafanywa na wachina,sema tu team ya QSAT bado ipo chumbani kuja na njia sahihi ya kupambana na hili la channels ku-freeze
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom