BAADHI YA MASWALI NINAYOULZWA
JE INATAKIWA NIWE NA NINI ILI KUPATA PAY TV kama DST* au CANALSAT BURE ?
Inataikwa uwe na
1. Dish Lolote moja laweza kuwa dogo au kubwa la futi 6, Kama unalo dish lingine lolote linatosha, kama hauna dish dogo ni TSH 50'000, na dish la futi 6 ni tsh 90'000 -120'000
2. IKS Digital MPEG4 Receiver kama QSAT Q26G, A-ONE, SPEED HDs1 au BEST HD4U [angalia hapo juu kujua bei ya kila decorder]
3. Inatakiwa uwe na account - Kuna account ya miezi 3, 6 au mwaka. Zipo account tofauti tofauti
4.Kiasi cha MB70 cha data kwa matumizi ya mwezi mmoja
JE ILI KUPATA PAMOJA NA FTA LOCAL CHANNEL + EMANUEL TV ?
Inatakiwa Uwe na LNB mbili
Kama unadish la futi 6 tayari zote zitapangiliwa na utaweza kupata local FTA Channel na pay-tv
Kama una dish dogo, utalazimika kuongeza dish dogo la pili.
Je dish lipi ni Bora kubwa au Dogo? USHAURI KUHUSU DISH
Badala ua kununua dish ndogo mbili.
Ni vyema kununua DISH kubwa moja la FUTI 6
JE KUNA FAIDA GANI ZA KUWA NA DISH LA FUTI 6?
Utafunga LNB zaidi ya moja
Mfano una LNB
tatu (3)
-LNB ya kwanza itasetiwa pay-tv mfano CanalSat
-LNB ya pili local FTA channel kupitia CBAND au KU
-LNB ya tatu utawekewa IRIB au sat nyingine yeyote.
Jifunze zaidi ufungaji wa LNB hapa>>
https://www.jamiiforums.com/tech-ga...amu-wa-kufunga-satellite-dishi-1-lnb-6-a.html
GHALAMA ZA UFUNGAJI DISH
Ni makubaliano yako wewe na fundi dish utakaye mpata.
Iwapo fundi atatoka kwangu bei ya ufundi kwa dish dogo ni tsh 40'000
Na iwapo ni dish kubwa moja na LNB mbili tofauti bei yake ni TSH 60'000
Hizi bei ni kwa wakazi wa dar
KWA UFUPI - HAYO NDIO MAHITAJI ILI KUPATA
- Pay_TV for free
- FTA Channel za kitaifa na Kimataifa
Kwa hayo maelezo yote kikubwa ni kupata MPEG4 GPRS IKS RECEIVER mfano QSAT Q26G Wasiliana nami ili kupata IKS Receiver mojawapo
MAWASILIANO
Skype: mw1rct
Whatsapp: +255 784 496856
Call/Sms: 0717 54 57 62 / 0784 496 856
PICHA KUTOKA QSAT Q26G