TUSIKARIRI AVATARCAM PEKEE
- Kuna account za ZAP & CANALREUNION ziko hewani
- Hiizi ni CCCAM
- Miezi sita TSH 75'000 na Miezi Mitatu ni TSH 55'000
- KARIBU
Hizo account naweza kuona ss1 mpaka ss9 ?
- Hapana SS1 hadi SS9 hizo ni za card ya Dst*
- ZAP | Channel Line-up
- CANALREUNION |Channel Line-up
Mkuu kuna channel kama 570 ni zote au baazi na zipi hizo
Kwahii kitu nimenyoosha mikono. Bora niukubali ukweli. Bora nikaunganisha ya cable. Nimekuwa mtumwa wa kusubiri account iwe active sasa nimechoka
Kwahii kitu nimenyoosha mikono. Bora niukubali ukweli. Bora nikaunganisha ya cable. Nimekuwa mtumwa wa kusubiri account iwe active sasa nimechoka
Mkuu,
Nahitaji kununua hizi vitu.. Je ni receiver ya aina gani niitumie ili isinipe shida..?
Hakuna mpito mwaka wa pili mpito gani ,zamani ilifanya kazi ila kwa sasa umebaki utapeli tu.Wewe lolowapi hizi dekoda qsat ni nzuri maana zina patch ya BISS kwa ajili ya IRIB TV. Pia ds wanapigana na channel zao. Pia kitu kama we we hukitaki wenzako wanaona lulu huu ni mpito tu!
Mkuu nakuomba usinunue hivi vidude ni majanga maana wapo kiutapeli zaidi ila wana kauli za kufariji.
1. UNUNUZIMkuu,
Nahitaji (1)kununua hizi vitu.. Je ni (2)receiver ya aina gani niitumie ili (3)isinipe shida..?
http://en.wikipedia.org/wiki/Card_sharing
Wapi Nitaweza kupata huduma kama hii.....?