Jipatie Qsat Q23G HD satellite FTA receiver

Jipatie Qsat Q23G HD satellite FTA receiver

Wana jf ebu naomba kufahamishwa vizuri kuhusiana na hivyo vingamuzi ukinunua kuna malipo tena au

Ukinunua kuna kitu wanakiita account,hizo zipo za kulipia miezi mitatu,sita au mwaka inakuwa ni chaguo lako kutokana na mfuko wako unavyokuruhusu.Sasa hiyo account uliyolipia ya miezi yeyote au mwaka ikiisha hapo ndiyo unatakiwa kulipia tena account au tuseme una renew
 
Still freezes......
  • Ni kweli kwa TV1 ambayo ndio default account katika receiver yako BEST HD4U
  • Ila una option ya ku add cccam account nyengine kwa kuedit server3
Ila ondoa shaka tv1 itarejea katika status yake tuliyozoea
 
bei ya best hd king'amuzi shs ngapi?
  • Bei ya BEST HD4U ni tsh 260'000 tu
  • Unapata BURE huawei Modem
  • Unapata BURE TV1 cccam kwa mwaka mmoja
  • Unapata BURE SAT1 Cccam kwa mwaka mmoja -Hivyo unakuwa na server mbili tofauti
  • Unapata BURE Technical support 24/7
KARIBU SANA

INSTOOOOOOO.jpg
 
Kuhusu TV1
  • Soon itakuwa ok
  • Taarifa ilitolewa mapema tangu January 15 '2015 kuhusu server minor maintanance kwa email.
Kuhusu A1star
  • Soon itakuwa ok, nina mawasiliano ya karibu sana na server admin

  • Nilimwomba awasiliane nami kabla ya saa mbili ya siku hiyo.
  • Mpaka leo bado hajawasiliana nami, nurdi tafadhali thibitisha hili. Na bado ana account ya a1star
  • Ni kawaida yangu mimi kama mtoa huduma kusikiliza tatizo la mtu niliyempa huduma
  • KARIBU
Mawasiliano Simu/ Whatsapp# +255 784 496 856

Ni kweli sijawasiliana na Mwl, nilijipa muda wa kusubiri .nina uhakina na huduma yake ni zaidi ya miezi 8 sasa napata huduma kwake.
 
  • Nipe satus kwa sasa
  • Kwa upande wa a1star vs tv1
  • Naangalia SS7 kupitia a1star iko stable

Kwangu ilikata dak 81 Man city Vs Arsenal. A1star sikujua kama imerudi,Mwl Tujuze Tv1 na a1star zimerudi?
 
Kwangu ilikata dak 81 Man city Vs Arsenal. A1star sikujua kama imerudi,Mwl Tujuze Tv1 na a1star zimerudi?
  • Tv1 bado inashida, ila any time itakuwa on air
  • Kwa sasa endelea kutumia a1star
  • Karibu
Kwa wanao hitaji a1star cccam pls call 0784 496 856
Six month ni TSH 75'000 Tu
 
  • Tv1 bado inashida, ila any time itakuwa on air
  • Kwa sasa endelea kutumia a1star
  • Karibu
Kwa wanao hitaji a1star cccam pls call 0784 496 856
Six month ni TSH 75'000 Tu

Inawezekana kuwa na account zaidi ya mbili? maana yangu ina AVTCAM na CCCAM,

kwa sasa hivi AVTCAM inaonyesha baadhi ya channel lakini CCCAM inagoma kabisa.
 
Inawezekana kuwa na account zaidi ya mbili? maana yangu ina AVTCAM na CCCAM,

kwa sasa hivi AVTCAM inaonyesha baadhi ya channel lakini CCCAM inagoma kabisa.
  • Ni kweli, inashauriwa uwe na account zaidi ya moja
  • Kwa sasa chukua a1star cccam server - iko online, iko okay.
  • Call 0784 496 856 ili kupata account pamoja na maelekezo ya nini cha kufanya
  • KARIBU
 
Server Status - Update January 20' 2015
CCcam servers zote zinafanya vyema kwa sasa

  • killer cccam
  • Tv1 cccam
  • A1star cccam &
  • azsky Newcam
Kwa watumiaji wapya sasa una machaguo manne(4) ya account ya kuweka kwenye IKS Decorder yako.

BEI YA ACCOUNT
  • Miezi mitatu TSH 65'000
  • Miezi Sita TSH 75'000
  • Mwaka mmoja TSH 110'000
Ushauri - Ni vyema ukawa na account mbili za cccam toka server mbili tofauti - Double security


Nipigie/sms/whatsapp # +255 784 496 856
Skype: mw1rct
 
Tunaendelea kufurahia huduma bora 24/7 toka kwa Mwl. huduma bora kabla na baada ya kununua account au Receiver.Pamoja sana
 
Tunaendelea kufurahia huduma bora 24/7 toka kwa Mwl. huduma bora kabla na baada ya kununua account au Receiver.Pamoja sana
  • Je "new password" kwa username yako imefanya kazi vyema?
 
mwalimu naomba nisaidie trial account. Avatarcam account yangu imeexpire nisaidie trial wakt najipanga p
 
mwalimu naomba nisaidie trial account. Avatarcam account yangu imeexpire nisaidie trial wakt najipanga p

Nakutumia kwenye PM sasa hivi. Nakupa siku tatu Ijumaa, Jumamosi na Jumapili.

Karibu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom