Jipatie Qsat Q23G HD satellite FTA receiver

Jipatie Qsat Q23G HD satellite FTA receiver

Team of engineers bado wanafanya kazi kuhakikisha server inarudi katika hali yake ya kawaida.

Ni kwa watumiaji wote wa a1star wamepatwa na hili tatizo.

Kwa sasa alternative ni tatu:
1. Tv1 cccam
2. Killer cccam &
3. NewCam ya azsky server

Kukiwa na update kuhusu a1star nitawajulisha kupitia thread hii.

Karibu na pole kwa usumbufu uliojitokeza.

Mawasiliano: 0784 496 856

Sasa Huoni unastahili kuturefund either hela au account mpya, kwani ni wewe ndie uliyetushauri tununue ikizingatia ilikuwa bei moja na TV1 account,nahisi unastahili kutuomba radhi kwa hili,kwani ss tunakujua wewe kama deal wao,isitoshe ulirecoment kwetu kuwa a1 iko stable kuliko TV1
 
Sasa Huoni unastahili kuturefund either hela au account mpya, kwani ni wewe ndie uliyetushauri tununue ikizingatia ilikuwa bei moja na TV1 account,nahisi unastahili kutuomba radhi kwa hili,kwani ss tunakujua wewe kama deal wao,isitoshe ulirecoment kwetu kuwa a1 iko stable kuliko TV1

Nimekupata vyema ndugu, Nitakupa account mpya leo, hakikisha unawasiliana nami leo kabla ya saa 2 usiku.

Je ipi nikupe
1. Tv1
2. killer cccam au
3. Newcam

Tuko pamoja, Karibu sana
 
Nimekupata vyema ndugu, Nitakupa account mpya leo, hakikisha unawasiliana nami leo kabla ya saa 2 usiku.

Je ipi nikupe
1. Tv1
2. killer cccam au
3. Newcam

Tuko pamoja, Karibu sana

Ndio tofauti kubwa ulionayo kati yako na madealer wengine,Tuko pamoja sana
 
PICHA ZA QSAT Q26G - New Product in Stock

m_SAM_0534.jpg


m_SAM_0535.jpg


m_SAM_0538.jpg


m_SAM_0540.jpg
 
MUONEKANO WA 'MENU' KATIKA Q26G - II
m_20140131001300.jpg


m_20140131001326.jpg




 
Mwl RCT naomba unisaidie kitu kimoja,hii account yangu ya TV1 cccam naona haitaki ku connect toka jana jioni na mpaka sasa naona kimya.Tatizo ni nini?Pili hapo juu kuna jamaa nimeona amelalamikia tatizo la account ya A 1 star na umeamua kumbadilishia.Je sisi wengine tulionunua kwako hiyo account unatushauri nini?
 
TV1 cccam user - Soon server itakuwa ok

For support Call: +255 784 496 856 [0530hr - 2130hr 24/7]
 
Mwl RCT naomba unisaidie kitu kimoja,hii account yangu ya TV1 cccam naona haitaki ku connect toka jana jioni na mpaka sasa naona kimya.Tatizo ni nini?Pili hapo juu kuna jamaa nimeona amelalamikia tatizo la account ya A 1 star na umeamua kumbadilishia.Je sisi wengine tulionunua kwako hiyo account unatushauri nini?
Kuhusu TV1
  • Soon itakuwa ok
  • Taarifa ilitolewa mapema tangu January 15 '2015 kuhusu server minor maintanance kwa email.
Kuhusu A1star
  • Soon itakuwa ok, nina mawasiliano ya karibu sana na server admin
kuna jamaa nimeona amelalamikia tatizo la account ya A 1 star na umeamua kumbadilishia.
  • Nilimwomba awasiliane nami kabla ya saa mbili ya siku hiyo.
  • Mpaka leo bado hajawasiliana nami, nurdi tafadhali thibitisha hili. Na bado ana account ya a1star
  • Ni kawaida yangu mimi kama mtoa huduma kusikiliza tatizo la mtu niliyempa huduma
  • KARIBU
Mawasiliano Simu/ Whatsapp# +255 784 496 856
 
Last edited by a moderator:
Hiyo taarifa ya kwamba TV1 iko kwenye maintanance ni kwamba kila member wako alipewa au?Maana mimi sikuiona kwangu
 
Kuhusu TV1
  • Soon itakuwa ok
  • Taarifa ilitolewa mapema tangu January 15 '2015 kuhusu server minor maintanance kwa email.
Kuhusu A1star
  • Soon itakuwa ok, nina mawasiliano ya karibu sana na server admin

  • Nilimwomba awasiliane nami kabla ya saa mbili ya siku hiyo.
  • Mpaka leo bado hajawasiliana nami, nurdi tafadhali thibitisha hili. Na bado ana account ya a1star
  • Ni kawaida yangu mimi kama mtoa huduma kusikiliza tatizo la mtu niliyempa huduma
  • KARIBU
Mawasiliano Simu/ Whatsapp# +255 784 496 856

May be itakuwa stable na kupunguza freezing.
 
Last edited by a moderator:
Tv1 & A1star - Ziko sawa kwa sasa.
  • A1star ScreenShot
back2back.jpg

  • Tv1 ScreenShot
backback2.jpg

Ni kweli TV 1 imerudi,lakini kuna freezing ambayo haielezeki mkuu.Nimejaribu kuangalia na A1 star hii ndiyo kabisa haiko stable hata
 
Ni kweli TV 1 imerudi,lakini kuna freezing ambayo haielezeki mkuu.Nimejaribu kuangalia na A1 star hii ndiyo kabisa haiko stable hata
  • Nipe satus kwa sasa
  • Kwa upande wa a1star vs tv1
  • Naangalia SS7 kupitia a1star iko stable
 
Duh...... imekata tena. Tv1 haipo kabisa sasa. Duh nilijua nitatizama game la Man city vs Arsenal
 
  • Nipe satus kwa sasa
  • Kwa upande wa a1star vs tv1
  • Naangalia SS7 kupitia a1star iko stable

Kwasasa nilichokifanya mimi ni kuweka account zote mbili ON,kwa maana A1 star na TV1,ila kwasasa freezing inaenda inapungua,na wakati mwingine ikitokea freezing status inaonyesha Connected lakini kwenye screen unakutana na message ya scamble.
 
Kwasasa nilichokifanya mimi ni kuweka account zote mbili ON,kwa maana A1 star na TV1
  • Ni sawa kabisa, huwa inashauriwa unakuwa na account zaidi ya moja - Hapo safi
ila kwasasa freezing inaenda inapungua,
  • Kwa sasa almost no freezing kwa a1star,
na wakati mwingine ikitokea freezing status inaonyesha Connected lakini kwenye screen unakutana na message ya scamble.
  • Ni msg toka server moja, wakati server nyengine ipo sawa
  • Hii ni kawaida kwa mfano kwa wale wanaotumia BEST HD4U hii ina server mbili na zote ukiweka ON, basi ikitokea server 1 imeleta msg picha haikati
Tuko pamoja for supoort any time call +255 784 496 856 KARIBU

Kwasasa nilichokifanya mimi ni kuweka account zote mbili ON,kwa maana A1 star na TV1,ila kwasasa freezing inaenda inapungua,na wakati mwingine ikitokea freezing status inaonyesha Connected lakini kwenye screen unakutana na message ya scamble.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom