Ikoje hiyo baby,mbona mie hujaniwekea huko chini?Ukikutana na ile inaitwa mavi ya panya utakua unaiwazia hiyo K muda wote....
Kawadanganye malofa wenzako, hakuna bikra JF,facebook,instragram,whatsaap wala twitter.Mi mpaka sasa bikra, sijaguswa na mwanaume yoyote. Mpaka nifunge ndoa. Hila tayari ninamchumba wangu nampenda kweli tumekubaliana sote mpaka tufuge ndoa ndio tuanze kuchovyana.
hakuna mwanaume anayeuziwa mbuzi kwenye guniaMi mpaka sasa bikra, sijaguswa na mwanaume yoyote. Mpaka nifunge ndoa. Hila tayari ninamchumba wangu nampenda kweli tumekubaliana sote mpaka tufuge ndoa ndio tuanze kuchovyana.
Ni aina hiyo hiyo ya vikorombwezo vya Kfafanua zaidi mkuu ndo kitu gani hiyo