RAINEL LIHAWA
Member
- Apr 14, 2015
- 34
- 31
- Thread starter
- #41
Oky step ni zilezileMie ni Afisa mwandamizi,siyo mwalimu
Oky step ni zilezileMie ni Afisa mwandamizi,siyo mwalimu
Watumishi woteSamahani naomba kuuliza huo mfumo ni kwa ajili ya walimu tu?ama ni watumishi wote wa umma
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Done nimeongezaForum kama hizi zimekuwa productive sana, naamini si watumishi wote waliopata/watakaopata mafunzo hivyo kama wewe ni sehemu ya walioelimishwa kuhusu huu mfumo maliza kabisa na kuonyesha hizo "task na sub task" za "category" ya watumishi uliyoileñga (Walimu)
Hongera sana kwa haya maelekezo
Noted mkuu
Vingi vimeshachoka nadhani purchase haikuzingatia durabilitySi walipewa vishkwambi?
Au waliviuza baa?🤣🤣
Hilo nilisikia kwa jamaa yangu mmoja anayehitaji uhamisho sana akiogopa mfumo ila yeye mwenyewe baso hajaanza kutumia huu mfumoHapana mkuu hapo papo simple tuu.
Jaza taarifa zako hama chap
Mkuu si kirahisi hivyo!Mfumo Bado hausomani.Unaweza omba Transfer alafu Supervisor hakuoni mnabaki mnaangaika na yeye ana role ya kukuhamisha tayari kwenye Uhamisho naona Bado hauko sawa labda huko Pepmis nako majina yanaingia na kutoka inategemea na mtandao.Pia suala la Uhamisho Kuna halmashauri Bado wanahitaji barua ukishapitishiwa na mwajiri unaitachi kwenye Mfumo pamoja na doc zingine.Kwa ufupi suala la mifumo lingeenda taratibu maana Mfumo ni kama umeelemewa hivi mara hupatikane au haupatikani unaweza shinda kutwa mzima kisa Mfumo.Hilo nilisikia kwa jamaa yangu mmoja anayehitaji uhamisho sana akiogopa mfumo ila yeye mwenyewe baso hajaanza kutumia huu mfumo
Mkuu si kirahisi hivyo!Mfumo Bado hausomani.Unaweza omba Transfer alafu Supervisor hakuoni mnabaki mnaangaika na yeye ana role ya kukuhamisha tayari kwenye Uhamisho naona Bado hauko sawa labda huko Pepmis nako majina yanaingia na kutoka inategemea na mtandao.Pia suala la Uhamisho Kuna halmashauri Bado wanahitaji barua ukishapitishiwa na mwajiri unaitachi kwenye Mfumo pamoja na doc zingine.Kwa ufupi suala la mifumo lingeenda taratibu maana Mfumo ni kama umeelemewa hivi mara hupatikane au haupatikani unaweza shinda kutwa mzima kisa Mfumo.
Wahudumu wa ofisi nyinyi mmekomaa na Nini?Walimu wao wanakomaa na kile kipengele cha E loan tu
Hata Mimi nawaza hivyo hivyo. Mifumo imekuwa mingi na yote inahitaji utunze password.Kwanini msi unganishe ndani ya erms mifumo inakuwa mingi ya nini
Huo mfumo ni wa watumishi wote sio Walimu tu
Relax Ni shida ya mtandao tu badae itakubali!Habari
Msaada wa kusaidiwa kwani inaniandikia ujumbe ''Exception occured while registerring new user. Please try again later''
Mkuu ukibofya kipengele cha kwanza (i) unapata tasks and subtasks. Na pia ukibofya kipengele cha tatu (iii) unapata tasks and subtasks. Lakini wewe unasema tutumie kipengele cha kwanza (i). Je, hiki kipengele cha tatu (iii) ni cha kazi gani? Vipi kama nikichagua kipengele hicho na kujaza tasks na subtasks nini kitatokea? Nitakuwa sahihi au nitakuwa nimechemka?i. Annual Institutional performance planning
ii. Implementation and Monitoring
iii. Annual Institutional performance plan update
iv. Employee performance Assessment
v. Employee performance Assessment Referral and Appeal
vi. Report
B.NAMNA YA KUWEKA/KUANDIKA/KUJAZA TASK NA SUBTASK
i. Bofya kipengele Cha kwanza Cha PEPMIS
ni kweli kabisa hivi yaan imechanganya sanaWangeanza kwa kutafuta mikoa au wilaya za mfano. Labda wakasema tuanze na Tanga Mjini, au Kigoma Municipal.. Wakifanya ivo kwa wilaya kadhaa kama za mfano wakajua challenges, wanazidi kujitanua hadi wanawafikia waliopo Namtumbo.