RAINEL LIHAWA
Member
- Apr 14, 2015
- 33
- 30
KUJAZA TASK NA SUB-TASK.
Watumishi wote wanaingilia kwenye mshare WA kwanza kushoto.
Then mshare WA kwanza kulia anaingia supervisorkuset performance indicator, tarting date na ending date pamoja na kujaza weight Kwa Kila SUB-TASK
Pia ataingilia ku-approve task za watu wake wachini.
Kuna mdau anauliza mbona weight marks zinaonekana ni kubwa sana Kwa Task moja!???
Note the following.
1. Kila task moja inatakiwa iwe na total 100%
2. The way task inavyokuwa na sub-task nyingi basi inatakiwa ugawanyie hizo marks 100 kwenye zile subtask Ili zikamilishe marks 100% za task kuu.
3. Task ikiwa na SUB-TASK chache so, hizohizo chache utazipa marks ambapo ukijumlisha zifikie 100%
Kwa Elimu zaidi juu ya mifumo hii unaweza Follow page zetu za mitandao ya kijamii.
Watumishi wote wanaingilia kwenye mshare WA kwanza kushoto.
Then mshare WA kwanza kulia anaingia supervisorkuset performance indicator, tarting date na ending date pamoja na kujaza weight Kwa Kila SUB-TASK
Pia ataingilia ku-approve task za watu wake wachini.
Kuna mdau anauliza mbona weight marks zinaonekana ni kubwa sana Kwa Task moja!???
Note the following.
1. Kila task moja inatakiwa iwe na total 100%
2. The way task inavyokuwa na sub-task nyingi basi inatakiwa ugawanyie hizo marks 100 kwenye zile subtask Ili zikamilishe marks 100% za task kuu.
3. Task ikiwa na SUB-TASK chache so, hizohizo chache utazipa marks ambapo ukijumlisha zifikie 100%
Kwa Elimu zaidi juu ya mifumo hii unaweza Follow page zetu za mitandao ya kijamii.