Jinsi ya kutengeneza mwili bila kuingia Gym

Je kuna madhara yoyote ya kuoga maji ya baridi mara tu baada ya kumaliza kufanya mazoezi ??
Ndiyo, nimeshuhudia mtu akidondoka bafuni baada ya kuanza kuoga, ilikua tupo gym tukimenyeka.
Maelezo aliyotoa gym master alisema kua mwili hautakiwi kushtushwa kwa kumwagiwa maji ya baridi ghafla baada ya damu kua inatembea kwa kasi na mwili kua wa moto.

Itapendeza kama tutapata mdau ambaye ni daktari au ana elimu ya hiki ktu ili aendelee kutuelimisha.
 
Maelezo mazur mkuu, ongeza na haya
1. Kabla ya kuanza mazoez ni vizur ku fanya warm-up ili kuuandaa moyo kwajir ya kusukuma damu haraka.
2. Kumbuka kufanya kujinyoosha (stretching) kabla na baada ya zoez kuepusha kukakamaa(kupoteza mnyumbuliko wa mwili
3. Kumbuka kunywa maji kidogo kabla ya zoez (kama dk30 kabla) Pia baada kufidia maji utakayopoteza kwanjia ya jasho. Kumbuka kupumzika vizur na kupumua vzur
Muhimu sana hii kitu binafsi baada ya zoezi nilikua nalala chali /kifudifudi kisha mamsapu anatembea juu yangu kuanzia vidole vya mkono mpaka kwenye kwato. Mifupa na joint zote zinanyooka kisha unaunyoosha msuli wa ta.ko umemaliza kazi.
 
Kama unakula na kupumzika ipasavyo wiki mbili mpaka tatu zinatosha kukuonesha ulichotaka kionekane.

Hata hivyo kama una malengo ya kuwa na mwili mkubwa mpaka nyumbani ufukuzwe (samahani kama hauishi nyumbani) hii guide haitoshi inabidi uingie gym kabisa.
Ok thanx,maana hawa mashugamumy nna bahati nao tatizo wananisakama sana!
 
Kama unakula na kupumzika ipasavyo wiki mbili mpaka tatu zinatosha kukuonesha ulichotaka kionekane.

Hata hivyo kama una malengo ya kuwa na mwili mkubwa mpaka nyumbani ufukuzwe (samahani kama hauishi nyumbani) hii guide haitoshi inabidi uingie gym kabisa.
Mpangilio wa chakula uweje haswa kwa mtu wa kufanya mazoez hayo?
 
Mpangilio wa chakula uweje haswa kwa mtu wa kufanya mazoez hayo?
Mpangilio uwe kama ukiwa unafanya mazoezi mengine (yaani intake ya calories na protein iwe juu) hii ni kwa siye vimbau mbau au wenye miili ya kawaida. Mnene mlo wake inabidi aukate katika intake ya calories ili aukate mwili.

Mfano asubuhi uji wa ulezi unaweza ukaweka peanut butter, blue band au maziwa. Muda wa kifungua kinywa chapati tatu maziwa, ndizi na samaki/ dagaa/ kuku/ mboga ya majani.

Mchana ugali/ wali, samaki/ dagaa, maharage na mboga ya majani. Tunda.

Usiku wali na mboga za majani.

Hiyo ni vile typical ninavyokula mimi (na nikiwa sijafulia). Pia Siyo lazima vyote viwepo.
Hakikisha unakunywa maji mengi kwa kipindi chote hiki.
 
Je mtu mwenye umri wa kuanzia miaka 50 atapata matokeo sawa na vijana kama vile kujenga misuli?
Ndiyo, kitakachokupa mwili unaoutaka ni chakula, maji, kupumzika na jinsi utakavyokua makini na mpangilio wako wa mazoezi na siyo umri.
 
Aisee kwanza hongera lakini utagundua kua kwa sasa hivi hazikupi tena changamoto.

Kwa spartan fanya kwamba mikono ikishakaa kama ile picha inavyoonesha utakua ukija juu unakua kama unataka kupiga pushap za kupiga makofi (hivyo utakua unanyanyua mikono yako off the ground).
Lakini kila ukinyanyuka mkono uliokua nyuma utaenda mbele, uliokua mbele utarudi nyuma.

Kama bado mkuu, usisite kuniuliza.
Yaani mm sijafahamu kabisa hio Sparta inakuaje
 
Na ukianza kupiga push up Yale mambo yetu utakuwa unafanya kama kawaida au utasimama kwa muda?
 
Back
Top Bottom