Kikwete akifanya mazoezi makali ya gym

Kikwete akifanya mazoezi makali ya gym

loose Nut

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2025
Posts
2,306
Reaction score
5,314
Rais mstaafu wa awamu ya nne ndugu Jakaya Alfan Mrisho Kikwete ameonekana kwenye mitandao ya kijamii akifanya mazoezi makali ya gym.

Mstaafu huyo mwenye miaka 75 lakini anaonekana kama ana miaka arubain alifanya mazoezi chini ya mkufunzi maarufu wa maswala ya gym Denzel trainer.

Ni mfano mzuri sana mstaafu huyo anonyesha kwani ni vizuri kuhamasisha watu wale vizuri na kufanya mzoezi ili kutunza afya ya mwili na akili.

 
Mungu ni mkali mno. Kilio cha wengi ni ibada 🙏.
Kazi ni kipimo cha utu
 
Kama naiona minyumbu inavyoteseka, Kila wakimuombea mabaya jamaa ndo kwanza anazidi kuwaka
 
Rais mstaafu wa awamu ya nne ndugu Jakaya Alfan Mrisho Kikwete ameonekana kwenye mitandao ya kijamii akifanya mazoezi makali ya gym.

Mstaafu huyo mwenye miaka 75 lakini anaonekana kama ana miaka arubain alifanya mazoezi chini ya mkufunzi maarufu wa maswala ya gym Denzel trainer.

Ni mfano mzuri sana mstaafu huyo anonyesha kwani ni vizuri kuhamasisha watu wale vizuri na kufanya mzoezi ili kutunza afya ya mwili na akili.

Mazoezi mazuri kwa afya.
 
Rais mstaafu wa awamu ya nne ndugu Jakaya Alfan Mrisho Kikwete ameonekana kwenye mitandao ya kijamii akifanya mazoezi makali ya gym.

Mstaafu huyo mwenye miaka 75 lakini anaonekana kama ana miaka arubain alifanya mazoezi chini ya mkufunzi maarufu wa maswala ya gym Denzel trainer.

Ni mfano mzuri sana mstaafu huyo anonyesha kwani ni vizuri kuhamasisha watu wale vizuri na kufanya mzoezi ili kutunza afya ya mwili na akili.

Huyu asipokata moto,tutaumia sana
 
Back
Top Bottom