Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,261
- 34,216
Nashukuru mkuu!Usijali Mkuu
Sisi pia ni Registered Tax Consultants, hivyo ntakujibu
1. Makato ya kodi kwa kampuni ni 30% ya faida ghafi unayopata kwa mwaka mzima. Kodi hii utaijua baada ya kufanya mahesabu ya mizania
2. Tukirejea katika mfano wako, kama tulivyosema hapo juu ni kuwa kodi itakokotolewa kutoka ktk faida ghafi kwa mwaka mzima na sio robo ya mwaka. Kwa mfano kama mil 6 ni faida ghafi kwa mwaka utazidisha na 30% = 1.8mil na gawa kwa awamu nne za ulipaji kodi ie Ending Machi 31, Juni 30, Septemba 30 na Disemba 31 kila awamu utalipa 450,000.
Ila nasikia kuna income tax, witholding tax na mengine mengi mpaka nimeshindwa kuelewa!
So ina maana makato ni hiyo 30% kwenye faida ghafi kwa mwaka mzima basi au kuna nyingine tofauti na hiyo 30%?
Thanks in adwance mkuu