Afrolink-Tz Consult Ltd
JF-Expert Member
- Feb 25, 2018
- 420
- 939
Gharama za kusajili kampuni zinatofautiana kutokana na mtaji uliosajili na ada unayolipia BRELA. Gharama zimegawanyika hivi: Gharama zetu ie consultation fee hadi unakabidhiwa file la kampn iliyosajiliwa na kupata mwongozo na ushauri juu ya masuala ya kampn, kodi na mengineyo ni:Naomba kujua gharama za kunisaidia kufungua kampuni ukijibu hapa itapendeza
1. Mtaji kati ya TZS. 20,000.00 hadi TZS. 1,000,000.00
Ada BRELA ni TZS. 167,200.00
Consultation fee TZS. 150,000.00
2. Mtaji kati ya TZS. 1,000,001.00 hadi TZS. 10,000,000.00
Ada BRELA ni TZS. 247,200
Consultation fee TZS. 200,000.00
3. Mtaji kati ya TZS. 10,000,001.00 hadi TZS. 50,000,000.00
Ada BRELA ni TZS. 366,200.00
Consultation fee TZS. 250,000.00
4. Mtaji kati ya TZS. 50,000,001+
Ada BRELA ni TZS. 512,200.00
Consultation fee TZS. 300,000.00
Angalizo: Gharama za Consultation hazijajumliishwa VAT. Hivyo weka 18% VAT kwa kila consultation fee
Karibu sana
Check us: E-Mails:
info@afrolink.co.tz
info@cityaccountax.co.tz