Jinsi ya Kusajili kampuni katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Habari wakuu naomba kuuliza kama nikisajili jina la biashara tu je kodi nitakadiriwa kama mtu binafsi au nitalipa kama kampuni
 
Habari wakuu naomba kuuliza kama nikisajili jina la biashara tu je kodi nitakadiriwa kama mtu binafsi au nitalipa kama kampuni

Karibu Sana,
Kampuni ya mtu binafsi inalipiwa kodi kamamtu binafsi na kiwango cha kodi inategemea mapato yakok kwa mwaka, ingawa unaweza chagua kulipia kwa robo robo(miezi 3)

Kwa msaada wa kusajili ndani ya siku moja mpaka 2, karibu sana
 
Sijakuelewa, unazungumzia doc ipi?
Kiongoz lembu,heb nisaidie kitu maana hawa customer care wa brela ni wapumbaf sana okay ni hiv
1.nishafungua account kwenye web yao
Na tayar nishaangalia jina la kampun yangu halifanan na mengne so nataka nianze sajili jina langu la kampun,

Naenda wap pale kwenye page,maana siion
 
Kusajili kampuni mpya .png
 
Wana JF naomba mwenye taarifa za taratibu za kusajili kampuni ya madini pale nyumbani Tanzania anisaidie.

Natanguliza shukrani zangu.

-------------------------------------
Una fanya vipi ukitaka kujiandikisha ONLINE? Nadhani BRELA wanao utaratibu mpya, hebu ingieni kwenye website ya BRELA mfanye mambo kupitia humo kama wanavyo jinasibu siku hizi.
 
Naomba muongozo wanajanvi ukiwa na certificate of incorporation ili kupata TIN unatakiwa kuwa na viambatanishi gani na utaratibu upi unafuatwa?
 
Utaratibu wa kupata TIN, uwe na certificate of incorporation, lease agreement, (mkataba wa pango), barua ya utambulisho (utolewa TRA na inajazwa na afsa mtendaji ambako office yako ya biashara ilipo.)

Kwa maelezo zaid njoo DM.
 
Kupata TIN lazima uwe/ ufanye yafuatayo:

1. Form mbili hutolewa na TRA moja unajaza mwenyewe na nyingine ofisi ya serikali ya mtaa.
2.Passport size 4 mbili utapeleka kwa SM na mbili nyingine TRA
3.ambatanisha na driving licence au kitambulisho cha mpiga kura au taiga

Watakupatia, kila la kheri.
 
Ziko sababu nyingi za kuwaamini wataalamu kufanya kazi yako hasa zile za kitaalamu. Mfano KUSAJILI KAMPUNI,KUFANYA MAHESSBU YA KODI NK.
Faida kubwa kuliko zote ni kuokoa Muda. Haina utata kua Muda ni Mali. Muda ambao mtu anaweza kuingiza pesa; mtu aki pambana kufanya jambo na kumgharimu sana Muda - kulingana sio fani yake, hii ni hasara na masumbufu

Kwanini usituamini sisi tuliobobea na kufanikisha kazi kwa wateja wetu wengi. ???? Kwa Muda mfupi na gharama nafuu???

Au ndugu mdau unasemaje katika hili.???

OK has Chini ni baadhi ya Huduma utahitaji tukusaidie

KUSAJILI KAMPUNI (BRELA) -LIMITED; JINA (BUSINESS NAME); PARTNERSHIP (UBIA); CORPORATE

KUANDAA BUSINESS PLAN/ PROJECT

KUANDIKA HESABU ZA KAMPUNI/ KODI

PRINTING ZA AINA ZOTE -TSHIRTS; VIKOMBE.; BANAZ; KOFIA;

WASILIANA NASI
0652 411 402 - WATSUP
0784 205 039
 
Naomba kuwauliza wajumbe wenye uelewa au uzoefu wa kusajili kampuni humu ndani suala hili. Hivi hizi kampuni zinazotoa huduma ya kufanya uchunguzi (Research) zipo kwenye aina gani ya kampuni?

Je, hatua za kufuata kusajili kampuni za aina hiyo tajwa hapo juu zinafanana na usajili wa makampuni tofauti na hayo?

Pia, napenda kuuliza, je nikifungua kampuni ya kufanya utafiti wateja wangu wakuu ni akina nani hasa kati ya serikali na taasisi binafsi? Je hali ya soko la utoaji huduma za kufanya uchunguzi kwa Tanzania lipoje?

Mwisho kwa sasa, naomba kuuliza; inawezekana kusajili kampuni ya kufanya uchunguzi kwa kushirikiana na kampuni nyingine kama sehemu ya kupata uzoefu maana najua mwanzo ni mgumu.

Ahsanteni.
 
Kupata TIN lazima uwe/ ufanye yafuatayo:

1. Form mbili hutolewa na TRA moja unajaza mwenyewe na nyingine ofisi ya serikali ya mtaa.
2.Passport size 4 mbili utapeleka kwa SM na mbili nyingine TRA
3.ambatanisha na driving licence au kitambulisho cha mpiga kura au taiga

Watakupatia, kila la kheri.
Asa ivi wamerahisisha ukiwa na namba ya nida tuuu una pewa tin namba kwa njia ya online

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuko katika kipindi ambacho kesi ya madai inaweza kugeuzwa kuwa kesi ya uhujumu uchumi.tuko katika kipindi cha kuipeleka nchi yetu katika uchumi wakati kupitia kuanzisha makapuni na viwanda vingi viwe vinazalisha faida au hasara kutegemea na wakati kiwanda hicho au kampuni hiyo imefanya kazi

Ki uhalisia kampuni zinasajiriwa na BRELA. Mimi kama mwanasheria anatakiwa kufanya nini wakati nasajiri kampuni ili isije kuonekana kuwa anahujumu uchumi kwa kusajiri makampuni ya wananchi"?
 
Back
Top Bottom