Jinsi ya kusafisha uke


mbona haya yoteeee kawaida sana? sion jipya
 
....basi wa hivi, ngoja avue boxer au soksi, utatamani kufungua mlango....
Boxer limegandamana michirizi ya kujipiga bao usiku
ha ha ha ha ha ha ngoja tu nicheke nipunguze stress.
 
mkuu maelezo hayo nimeyatoa kwa mke wangu. anafanya hivyo kila siku. msafi sanaaaa. nikaona si vibaya kuwashirikisha. jaribu uone!

hilo jambo sio salama.nendeni kwa wataalam na muache kufundisha vitu ambavyo mko less informed.uwepo wa hizo sabuni haimaanishi ni salama.
pili uke una kemikali asilia ambayo ikioshwa yote ikaisha unarahisisha mashambulizi ya candida. wadada mnaosoma vitu vinavyohusu afya yako usikubali kila unachosoma au kusikia kutoka kwa mtu yoyote.pata taarifa sahihi kutoka kwa mtu sahihi
 

Hivi unamaanisha jivu kweli au yale majivu ya kizungu...poda za kizungu zile ukipaka yananyonyoka yenyewe??
 

hahahaaaaa Madame B sijui unajitoaga ufahamu au nn... shida yote ya nini?
 
Last edited by a moderator:

Namba 2 Kwa Mademu Wa Kibongo Ni Ngumu, Namba 4 Wanawake Wa Vijijini Wameshaizoea Mno Kwani Hata Shambani Tu Wanalima Pussy Ikiwa Wazi Huku Ikigongwa gongwa Na Udongo, Vijimawe Na Mbolea Na Namba 5 Sidhani Kwani Mademu Wengi Kubadili Kufuli Ni Sheeeeeeeeeeedah!
 
whenever you come across such a girl mwambie aweke limao na chumvi kwenye pussy yake nasikia ndio dawa
 
kuna sabuni maalum wanauza kwa kusafishia uke. hujawahi kuziona dada! kama hazipo ni tz ila nilishawahi kuziona nchi fulani.

Yaani nilidhani ulikosea kuandika kwa habari ya kutumia sabuni kumbe umemaanisha?? Siyo hivyo, Hakuna sabuni ya kuoshea ukeni!! Nasema hakuna tena hakuna hatari kama kutumia sabuni.
Tatizo lenu ni kwamba mnataka kudhalilisha sana wamama hawa. Unaonaje papuchi? Ile ni kitu iloumbwa kipekee kabisa. Haina mfano wake. Harufu itokayo pale kwa yule kweli umpendaye acha hayo mataulo ya barabarani yasiyojua weye ni wa ngapi. Yule wako kweli kweli, hutoa harufu ya manukato.
Hana haja ya kuosha na maji ndoo, Hapana. Akitawadha tu kwangu yatosha. Sisemi asitawadhe, nasema asiifue kwa omo au sabuni ya mche. Hiyo si boxer ni nyama laini sana. Mbona watu wanazamia huko chumvini??
Kama ukimkinai hata akitia ubani kwako ni bure, harufu yake itakuwa mbaya tuuuu. Wamama wa jf msiufuate huo ushauri wa kutumia sabuni mwambieni aitumie mwenyewe, kwani yeye hana tundu?
 

Umejuaje kusafisha Uke wakati we ni Mwanaume?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…