habari zenu wakuu,
Leo sio vibaya kaka yenu nikawaelewesha jinsi ya kusafisha uke kwa
dada/mama zangu ili usiweze kutoa harufu mbaya.maana nimeona malalamiko
humu na sehemu nyingine wanaume mwenzangu wakilalamikia hiki kitu.
i) wewe kama mwanamke inabidi uwe unajiswafi vizuri na kutumia maji
mengi kila baada ya kwenda chooni.
ii) jitahidi kila siku uwe unajiswafi kwa sabuni mara mbili usiku na
mchana.
iii) kila unapoenda chooni baada ya kujiswafi vizuri basi ni vizuri
ukatumia toilet paper kukausha maji katika sehemu hizo za siri. kausha
vizuri kabisa mpaka maji hayo yakauke.
iv) usiwe unapenda kulala na chupi ili hewa ipate kupita vizuri.
v) mwisho kumbuka kubadilisha chuppi kila siku.
fanya hivi kila siku uone utakavyokuwa msafi na mwenye kuvutia katika
sehemu zako za siri, no harufu wala bugdha yeyote itayokuwa inatoka
huko.
ni rahisi sana dada zangu si mnaona!
Naona ya kike unatumia zaidi
alikuona majeruhi kama kandege
ha ha ha ha ha ha ngoja tu nicheke nipunguze stress.....basi wa hivi, ngoja avue boxer au soksi, utatamani kufungua mlango....
Boxer limegandamana michirizi ya kujipiga bao usiku
mkuu maelezo hayo nimeyatoa kwa mke wangu. anafanya hivyo kila siku. msafi sanaaaa. nikaona si vibaya kuwashirikisha. jaribu uone!
Uko dunia ya ngapi wewe?
Sikia, unachukua jivu la motomoto unapakaza juu ya vuzzzz, kisha unachukua mafuta kidogo unapaka juu yake halafu unaanza kusugua.....inauma hiyooooooo.....chozi lazima litoke.....
Utaona vinyoya vinaanza kudondoka dondoka....unasugua mpaka akili ikukae sawa.
Baada ya kumaliza nawa na maji kisha paka mafuta yako.
Onyo: Vuz likiwa la kipilipili utamaliza siku nzima kusugua..ila kama la kizungu, mdebwedo tu.
Uko dunia ya ngapi wewe?
Sikia, unachukua jivu la motomoto unapakaza juu ya vuzzzz, kisha unachukua mafuta kidogo unapaka juu yake halafu unaanza kusugua.....inauma hiyooooooo.....chozi lazima litoke.....
Utaona vinyoya vinaanza kudondoka dondoka....unasugua mpaka akili ikukae sawa.
Baada ya kumaliza nawa na maji kisha paka mafuta yako.
Onyo: Vuz likiwa la kipilipili utamaliza siku nzima kusugua..ila kama la kizungu, mdebwedo tu.
habari zenu wakuu,
Leo sio vibaya kaka yenu nikawaelewesha jinsi ya kusafisha uke kwa dada/mama zangu ili usiweze kutoa harufu mbaya.maana nimeona malalamiko humu na sehemu nyingine wanaume mwenzangu wakilalamikia hiki kitu.
i) wewe kama mwanamke inabidi uwe unajiswafi vizuri na kutumia maji mengi kila baada ya kwenda chooni.
ii) jitahidi kila siku uwe unajiswafi kwa sabuni mara mbili usiku na mchana.
iii) kila unapoenda chooni baada ya kujiswafi vizuri basi ni vizuri ukatumia toilet paper kukausha maji katika sehemu hizo za siri. kausha vizuri kabisa mpaka maji hayo yakauke.
iv) usiwe unapenda kulala na chupi ili hewa ipate kupita vizuri.
v) mwisho kumbuka kubadilisha chuppi kila siku.
fanya hivi kila siku uone utakavyokuwa msafi na mwenye kuvutia katika sehemu zako za siri, no harufu wala bugdha yeyote itayokuwa inatoka huko.
ni rahisi sana dada zangu si mnaona!
Hivi unamaanisha jivu kweli au yale majivu ya kizungu...poda za kizungu zile ukipaka yananyonyoka yenyewe??
ha ha ha ha ha ha ngoja tu nicheke nipunguze stress.
"Njia inayotumika huwa haioti nyasi"
Mkuu BAK umenifanya niache kusikiliza dakika 5 ITV
....madogo yana nafuu.
Maana siku hizi kitchen party zinatolewa mpaka na wanaume.
Nawaza tukano litakalokufaa ........
kuna sabuni maalum wanauza kwa kusafishia uke. hujawahi kuziona dada! kama hazipo ni tz ila nilishawahi kuziona nchi fulani.
habari zenu wakuu,
Leo sio vibaya kaka yenu nikawaelewesha jinsi ya kusafisha uke kwa dada/mama zangu ili usiweze kutoa harufu mbaya.maana nimeona malalamiko humu na sehemu nyingine wanaume mwenzangu wakilalamikia hiki kitu.
i) wewe kama mwanamke inabidi uwe unajiswafi vizuri na kutumia maji mengi kila baada ya kwenda chooni.
ii) jitahidi kila siku uwe unajiswafi kwa sabuni mara mbili usiku na mchana.
iii) kila unapoenda chooni baada ya kujiswafi vizuri basi ni vizuri ukatumia toilet paper kukausha maji katika sehemu hizo za siri. kausha vizuri kabisa mpaka maji hayo yakauke.
iv) usiwe unapenda kulala na chupi ili hewa ipate kupita vizuri.
v) mwisho kumbuka kubadilisha chuppi kila siku.
fanya hivi kila siku uone utakavyokuwa msafi na mwenye kuvutia katika sehemu zako za siri, no harufu wala bugdha yeyote itayokuwa inatoka huko.
ni rahisi sana dada zangu si mnaona!