trudie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 3,338
- 7,675
Habari za jumapili waumini wenzangu na wanaJF wote.
Jumapili ya leo tulivu nawaletea bidhaa mpya ya unga wa uji wa lishe, unga unatoa uji mtamu sana ulio na virutubisho vyote kiafya.
Unga umechanganywa nafaka mbalimbali kwa balansi na upo wa watoto special na kwa ajili ya watu wazima, wajawazito na watoto.
1. Unga wa uji lishe wa watoto ( Toto Smile) bei yake ni 5,000 kwa kg moja.
Huu ni unga wa uji wenye mchanganyiko wa nafaka zifuatazo
-Karanga
- Viazi lishe.
Unga huu ni special kwa watoto wadogo na una faida zifuatazo.
-Huboresha afya ya mifupa ya mtoto.
2. Unga wa uji lishe kwa watu wazima, wazee, wajawazito na wagonjwa bei yake ni 4,000 kwa kg moja.
Unga huu una mchanganyiko wa nafaka zifuatazo
- mahindi lishe
-ulezi
-mbegu za maboga
-Ngano
- mtama
-ufuta
Unga huu una faida zifuatazo.
-Huboresha afya ya mifupa.
Tunatuma mikoa yote. Pia kwa oda ya kuchanganyiwa nafaka za chaguo lako huduma inapatikana. Kwa mawasiliano piga simu au whatsapp 0752 161149 au 0762014386. Huduma inapatikana Dar es salaam na Njombe mjini.
Kwa oda kubwa za mahoteli, mashule huduma inapatikana kwa haraka.View attachment 2702820View attachment 2702821View attachment 2702822
Jumapili ya leo tulivu nawaletea bidhaa mpya ya unga wa uji wa lishe, unga unatoa uji mtamu sana ulio na virutubisho vyote kiafya.
Unga umechanganywa nafaka mbalimbali kwa balansi na upo wa watoto special na kwa ajili ya watu wazima, wajawazito na watoto.
1. Unga wa uji lishe wa watoto ( Toto Smile) bei yake ni 5,000 kwa kg moja.
Huu ni unga wa uji wenye mchanganyiko wa nafaka zifuatazo
- mahindi lishe
- Ulezi
-Karanga
- Viazi lishe.
Unga huu ni special kwa watoto wadogo na una faida zifuatazo.
- Una virutubisho muhimu kwa ajili ya afya ya ubongo ya mtoto
- Unaongeza nguvu mwilini
-Huboresha afya ya mifupa ya mtoto.
2. Unga wa uji lishe kwa watu wazima, wazee, wajawazito na wagonjwa bei yake ni 4,000 kwa kg moja.
Unga huu una mchanganyiko wa nafaka zifuatazo
- mahindi lishe
-ulezi
-mbegu za maboga
-Ngano
- mtama
-ufuta
Unga huu una faida zifuatazo.
- Una virutubisho muhimu kwa ajili ya afya ya ubongo
- Unaongeza nguvu mwilini
-Huboresha afya ya mifupa.
Tunatuma mikoa yote. Pia kwa oda ya kuchanganyiwa nafaka za chaguo lako huduma inapatikana. Kwa mawasiliano piga simu au whatsapp 0752 161149 au 0762014386. Huduma inapatikana Dar es salaam na Njombe mjini.
Kwa oda kubwa za mahoteli, mashule huduma inapatikana kwa haraka.View attachment 2702820View attachment 2702821View attachment 2702822