gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,675
Mie huwa nakandia samli naichanganya na extra virgin olive oil kidogo na maji ya baridi. Ila wakati nazikaanda natumia mafuta kdg tu...ntakuekea chapati zangu lol uzione
nitajaribu recipe hii mie huwaga nazinunua kwenye mgahawa mmoja mwananyamala lakin sikuwah kujua recipe yake.
however samli kukandia chapati ni nzuri sana manake chapati zinakuwa laini na ladha nzuri sana.
kuna aina nyingine ya chapati nimezila jana zenyewe nazo ni nzuri sana na upish wake unatofauti kidogo na huu wa kawaida ngoja nijaribu kuizpika nikiweza nitawaletea recipe yake.