Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,119
- 27,937
Chapati kitu gani si unamnunulia kitabu cha mapishi anajifundisha mkuu?Unalipa mahari Mil.5, halafu mke anakupikia chapati ngumu kuliko maisha yako.!!
Chapati kitu gani si unamnunulia kitabu cha mapishi anajifundisha mkuu?Unalipa mahari Mil.5, halafu mke anakupikia chapati ngumu kuliko maisha yako.!!
😛😛😛😛😛😛😛😛Mgeni kutoka mbezi ipi?
hivi kuna siku ulishaniona napika chapati? !mbona unanisema.
Kuna zile zinavunjikaga kama ule mkate wa kwenye video ya Yesu!
Hizo hata sijawahi fuatilia upishi wake maana sizipendi ila nikipewa nakulaZa kumimina huwa hazipendwi na wengi kama za kusukuma. Ila ndio shughuli yake sio mchezo
Haaa best UGALI tena njoo nikufundishe shemela hata juta kukuwowaPole sana jamani dada!!
Sasa mimi bora kupika chapati kuliko ugali
mbona mnanichekesha na comments za huu uziZimetoka na mikia kama Pweza ?
Experience makes a person so better
Mimi nimeanza zipika nikiwa std 5.. saivi napika nauza
Hongera sana
Haaa best UGALI tena njoo nikufundishe shemela hata juta kukuwowa
Mimi wa kike mkuu, ahsante kwa ushauri nitajinunulia kitabu mwenyewe! btw, don't take this things so serious..!!Chapati kitu gani si unamnunulia kitabu cha mapishi anajifundisha mkuu?
Hapo kwenye kusubilia ndipo penyewe ila unga wa mhongo ndiyo hauna muda wakusubil
Ugali najua dear, sema sipendi ile kukoroga uji, halafu unasubiri mpaka uive, usonge tena weeee halafu usubirie uive huku ukisonga kila baada ya muda kadhaa!! Naonaga napoteza muda mimi jamani!!
yote mema tunajifunza humu humu kumbe mwenzangu, samahaniMimi wa kike mkuu, ahsante kwa ushauri nitajinunulia kitabu mwenyewe! btw, don't take this things so serious..!!
OoohHapo kwenye kusubilia ndipo penyewe ila unga wa mhongo ndiyo hauna muda wakusubil
Mbezi ipo maeneo gani?
NdioLeo si ndio jumamosi
Shangazii...!!Ndio
Basi usijaliNdio
Hakika zinanipiga chenga nikiitoa imekatikaZa kumimina huwa hazipendwi na wengi kama za kusukuma. Ila ndio shughuli yake sio mchezo