KingOligarchy
Senior Member
- Sep 28, 2013
- 130
- 351
- Thread starter
-
- #21
Hahahahhahah, Kule russia tunatumia neno Тушеная капуст hii nikimaanisha side dish ya cabbage + Kurnik huyu ni kuku wa kirusi.KingOligarchy Mrusi wa Bongo, Mbona huu msosi uliojaa mbalaga inaonekana Kama unasindikizwa na kamyama fulani amazing🐽🐷🐽🐷
Misosi ya Msibani hakunaga Kuku, ni mwendo wa Maharage au Nyama moja tu. Ila utakula bure bila kulipia.Hahahahahah, Tatizo linakuja ule muda wa kupledge sasa.... kile chakula cha kikao kinalipiwa kile! msosi mwingine ni kuhudhuria msibani
Eat more food the slogan say...... Hahahahhahhhahahahahahhahah mpaka umeona nimeandika hivi jua nina IQ kubwa sana123 IQ nimekuwa categorized kwenye Group la kuwa Gifted, Duniani tupo asilimia 6.4% tu ya total population. Eat some food if you can invest
Nauli je, na kupiga pasi na kiwi viatu? Hapo labda kusocialize sawa.2500 then kila mwaka nagonga msosi tu.... safiiiiiii!
Hii nguo pasi vipo kila siku, nauli ya nini ni mguu ili uwe na njaa kali ya kufidia! wakati wa kurudi ntaomba liftiNauli je, na kupiga pasi na kiwi viatu? Hapo labda kusocialize sawa.
Nimetoa Elimu kwa njia nyepesi, Haki za mwanahisa! As a Russian Corporate Trainer nina wajibu wa kufanya delivery ya message kwa lugha nyepesi! welcome to финансы hii tunaiita finansy kwa kirusi! Hashtag экономический (matamshi "ekonomicheskiy") HitmanKingOligarchy hii inaitwa nguvu ya hisa. Japo bado najiulza umefikiria kitu gan kufanya relation ya hisa na menu.
Umetukosea heshima sanaKama akili za watanzania nika kama zako ni haki CCM kuendelea ku tutawala......
Ila we jamaa utakuwa na happy life u r so funny aisee umewaza Nini?
Funny Facts!
Ukiingia kwenye soko la hisa la dar es salaam, idadi ndogo ya hisa za kununua ni hisa 10,
thamani ya hisa moja kwa makampuni kwa report ya jana ni kama ifuatavyo
View attachment 1971999
View attachment 1972001
Sasa Njia za kupata msosi ziko hivi, kwa sheria ya soko la hisa la Dar es salaam, kila mwaka kila kampuni lazima lifanye Annual General Meeting (AGM). ambapo ni mkutano mkuu wa wanahisa. Ukiachana na baadhi ya makampuni yanafanya online bado mchakato wa face to face upo kwahyo nunua hisa 10 mfano crdb 240*10 =2,400 so roughly kama 2,500 baada ya hapo mwanawani kila mwaka agm ukiitwa kama mwanahisa ni kupiga msosi tu, hahhahahah! (NAMAANISHA BAADA YA MKUTANO WANATOA MSOSI)
sasa funny facts ni kwamba tunachagua kampuni nyingi kama kumi mfano ,kwa hyo tarehe zinakuwa tofauti za msosi (kuku haikosekanikagi hapa)
lwahyo kila mwaka unaenda kwenye mkutano unagonga menu tu, huu nao ni UWEKEZAJI na Matunda ya PESA YAKO UTAYAONA
kumbuka mwanawani wanahisa mara nyingi wanajipakulia
dotnt take it too serious, at the end of the day atleat umejua bei za hisa za sokoni na pia kwamba kila mwaka lazimakuwe na mkutano mkuu wa mwaka
na MSOSI PIA.
View attachment 1972014
WENGINE WANATOA HADI VIPARCEL FLANI AMAZING