Rakims
JF-Expert Member
- Jun 4, 2014
- 4,982
- 4,481
- Thread starter
- #221
Endelea kupractice lakini tumia kwa faida usitumie kwa starehe tu mkuume naipenda sana maana kuna matukio nayaota halafu katika maisha yakawaida kama kauli mtu anaweza kunambi akwenye ndoto sasa nikiamka unakuta mara nyingine anaiambi au kauli ya kufanana na hiyo hiyo hahahaah na enjoy sana maana this world is amaizing