draga
JF-Expert Member
- Jul 19, 2020
- 528
- 501
Yah Ni nzur sna na Zina furaha ya ajabuVery sure mimi huwa nawasimulia watu wanasema uongo kwamba siyo kweli uote huku unajua unaota. Nimeanza lucid tangu niko primary now mtu mzima . Kila siku huwa najiona mimi ni mtu wa ajabu sana.
Kwa mtu ambaye hajawahi kufanya lucid atapinga na ataona ni miujiza but its real.
Nimekatisha ndoto nyingi sana mfano za kukimbizwa either na mnyama mkali.
Kuna ndoto zingine huwa naamua kuziendeleza nione mwisho wake nini.
Kiukweli ni kitu nashukuru Mungu kwa kunipatia inakufanya uenjoy na ujue mambo makubwa.