usijalisana
Member
- Jan 31, 2019
- 26
- 9
NdioKuna tofauti gani kati ya Bachelor degree certificate na University/ college Transcipt Results?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi nimekwama hapo
Kama una degree mbona kuna namba ulizokuwa unatumia chuoni??hata kwenye pepa ndo tulizokuw tunaandika badala ya jina..hata kwenye transcript ipo iangalie vizur ...Hata mimi nimekwama hapo
Nazingua sio? Jiandae kuyakuta maombi yako kwenye dustbin! I swear
Kuna tofauti gani kati ya Bachelor degree certificate na University/ college Transcipt Results?
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kupotosha watu wewe.mwaka jana watu wametype na wamepata kaziZamani Katika Matangazo ya Ajira walipokuwa wakieka kipengele cha kuandika barua katika walikuwa wakiweka Namna ya Kuandika barua ambapo Masharti Yake ni Kuwa Iandikwe kwa Mkono.
Lakini sikuhizi Matangazo yao wanayafanya Simple sana na ya kimtego ambayo huwa hawaandiki Vitu kama Kuambatanisha na barua iliyoandikwa kwa Mkono , na Veti kuwa Vimethibitishwa na Wakili (Hili kwa hatua ya Maombi sio lazima).
Lakini kwenye kuyachambua Maombi ya Waombaji unakutia Hivyo vitu wanaviangalia kwa 100%.
Na ndiyomana unamkuta Mtu anakosa ajira ikisha analialia hapa JF kwa kutokufuata taratibu.
Mkuu Barua kuandika kwa Mkono ni Lazima wala so hiari.
Kama hutaki ajira basi katype Barua uone Mziki wake.
Na Kuhusu kuandika barua kwa English Language hilo sina uhakika kama Halikubaliki, Lakini yanini kufika huko kwenye English Wakati kiswahili ni Kizuri na Kinakubalika?
Bora tumia lugha yako ya asili kwani English sio priority Satan a you any alia kukupa ajira.
Na kama ipo sehemu ya kuapload CV basi iandike uiapload itakusaidia.
Acha mbwembwe na kuwatisha watu.Haina Shida Hapa Hapotolewi Mtu kwani Mimi sijamkamata Mtu Mkono kuwa asitype, bali nimetoa tu ushauri kuwa Watu waandike kwa Mkono.
Barua zote zinakuja Dododoma (OR-TAMISEMI) kwahiyo atakaye type na ataye andika kwa Mkono wote zitatufika na tutajua ipi tuchukue na ipi tuache.
Mkuu una mikwaraaa😂😂😂😂😂Haina Shida Hapa Hapotolewi Mtu kwani Mimi sijamkamata Mtu Mkono kuwa asitype, bali nimetoa tu ushauri kuwa Watu waandike kwa Mkono.
Barua zote zinakuja Dododoma (OR-TAMISEMI) kwahiyo atakaye type na ataye andika kwa Mkono wote zitatufika na tutajua ipi tuchukue na ipi tuache.
Hahaaah mkuu na wewe umemuamini😂😂😂
Nimejaribu mara nyingi sana ila sijafanikiwa hata sijui nitumie mbinu gani, yani kama teknolojia yetu bado iko chini bora wangesema tutume hardcopy kwa EMS.. huu ni usumbufu wa kiwango cha lami.hivi vyeti uapload saa ngapi ndo vikubali?? maana dah!!! watu wanasuccessed kuapload kweli??
Sjamwamini najaribu kumuliza ili aendelee kujikanyagaHahaaah mkuu na wewe umemuamini
mkuu vp kwako system amekaa vp, huku Imegoma kabisahii system inashake kwanini?? mara inakuwa vizuri mda huu naona haifunguki!!!
tangu jioni jana mpaka sasa haifunguki!!!
Ishakua biashara tena..!Nichek watsapp 0769752413 kwa msaada wa kuaaply.View attachment 1039441
Sent using Jamii Forums mobile app