Hello Wapendwa !
Naomba Msaada wenu kwa wale waliofanikiwa kuendelea na kumaliza mchakato wa maombi ya ajira kada ya UALIMU.
Nimejaribu kufanya usajili (registration) lakini mfumo unagoma " inaonyesha username imeshatumika nimejaribu kutumia username nyingine (email) ikakubali pindi nilipohakiki NIDA namba mfumo ukasema account tayari ina-exist (nilishawahi kufanya maombi huko nyumba)
MSAADA KWA ANAYEJUA
Naomba Msaada wenu kwa wale waliofanikiwa kuendelea na kumaliza mchakato wa maombi ya ajira kada ya UALIMU.
Nimejaribu kufanya usajili (registration) lakini mfumo unagoma " inaonyesha username imeshatumika nimejaribu kutumia username nyingine (email) ikakubali pindi nilipohakiki NIDA namba mfumo ukasema account tayari ina-exist (nilishawahi kufanya maombi huko nyumba)
MSAADA KWA ANAYEJUA