Jinsi ya kuomba ajira za waalimu

Haina Shida Hapa Hapotolewi Mtu kwani Mimi sijamkamata Mtu Mkono kuwa asitype, bali nimetoa tu ushauri kuwa Watu waandike kwa Mkono.

Barua zote zinakuja Dododoma (OR-TAMISEMI) kwahiyo atakaye type na ataye andika kwa Mkono wote zitatufika na tutajua ipi tuchukue na ipi tuache.

Kama wahusika wa upokeaji maombi ni wa aina yako basi napata wasiwasi na namna ya recruitment inavyofanyika. Huna weledi zaidi ya ubabaishaji.

Type-written ama hand-written applications zote ni sawa cha msingi zisainiwe tu.
 
Ila siyo siri, Mfumo wa OTEA si rafiki!!! Wangefanya consultation na watu wa Heslb ambao mfumo wao wa OLAM ni rafiki sana!! Unakuongoza vizuri hatua kwa hatua. Ukimaliza hatua moja unakuruhusu kwenda hatua ya pili, na mwisho wa siku wanakuruhusu ku-submit na kuprint copy yako. Halafu wanakutaka utume hard copy pia kama back up!! Lakini hawa OTEA hawana option ya ku-submit au ku-edit! Mtu unaweza kufanya kosa lakini hawana option inayokuruhusu kuedit, vinginevyo sijui uanze process upya!!! Kwa ufupi hawako vizuri!!
 
Back
Top Bottom