Mr Mike
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 215
- 457
Haina Shida Hapa Hapotolewi Mtu kwani Mimi sijamkamata Mtu Mkono kuwa asitype, bali nimetoa tu ushauri kuwa Watu waandike kwa Mkono.
Barua zote zinakuja Dododoma (OR-TAMISEMI) kwahiyo atakaye type na ataye andika kwa Mkono wote zitatufika na tutajua ipi tuchukue na ipi tuache.
Ukitype siyo shida ili mradi uisign ndipo uscan!!kwani kuna shida gan kama utatype barua yako? na je lazima iwe kwa kiswahili au kuna umuhimu kuiandika kwa english? naomba unijibie mkuu!!!
Siyo biashara ni fursa!!