Jinsi ya kuomba ajira za waalimu

kwani kuna shida gan kama utatype barua yako? na je lazima iwe kwa kiswahili au kuna umuhimu kuiandika kwa english? naomba unijibie mkuu!!!

Zamani Katika Matangazo ya Ajira walipokuwa wakieka kipengele cha kuandika barua katika walikuwa wakiweka Namna ya Kuandika barua ambapo Masharti Yake ni Kuwa Iandikwe kwa Mkono.

Lakini sikuhizi Matangazo yao wanayafanya Simple sana na ya kimtego ambayo huwa hawaandiki Vitu kama Kuambatanisha na barua iliyoandikwa kwa Mkono , na Veti kuwa Vimethibitishwa na Wakili (Hili kwa hatua ya Maombi sio lazima).

Lakini kwenye kuyachambua Maombi ya Waombaji unakutia Hivyo vitu wanaviangalia kwa 100%.

Na ndiyomana unamkuta Mtu anakosa ajira ikisha analialia hapa JF kwa kutokufuata taratibu.

Mkuu Barua kuandika kwa Mkono ni Lazima wala so hiari.

Kama hutaki ajira basi katype Barua uone Mziki wake.

Na Kuhusu kuandika barua kwa English Language hilo sina uhakika kama Halikubaliki, Lakini yanini kufika huko kwenye English Wakati kiswahili ni Kizuri na Kinakubalika?

Bora tumia lugha yako ya asili kwani English sio priority Satan a you any alia kukupa ajira.

Na kama ipo sehemu ya kuapload CV basi iandike uiapload itakusaidia.
 
Mna vituko jamn mbona mnataka kuwapotosha wenzenu we kama hukutype waache wanaotaka kutype wakatype

Sent using Jamii Forums mobile app

Haina Shida Hapa Hapotolewi Mtu kwani Mimi sijamkamata Mtu Mkono kuwa asitype, bali nimetoa tu ushauri kuwa Watu waandike kwa Mkono.

Barua zote zinakuja Dododoma (OR-TAMISEMI) kwahiyo atakaye type na ataye andika kwa Mkono wote zitatufika na tutajua ipi tuchukue na ipi tuache.
 
Haina Shida Hapa Hapotolewi Mtu kwani Mimi sijamkamata Mtu Mkono kuwa asitype, bali nimetoa tu ushauri kuwa Watu waandike kwa Mkono.

Barua zote zinakuja Dododoma (OR-TAMISEMI) kwahiyo atakaye type na ataye andika kwa Mkono wote zitatufika na tutajua ipi tuchukue na ipi tuache.
Sema iko hv ukitype unaiprint ile barua then unaisain afu unaiscan back japo inaonekana n usumbufu ila itadepend na mtu mwenyewe atavoona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haina Shida Hapa Hapotolewi Mtu kwani Mimi sijamkamata Mtu Mkono kuwa asitype, bali nimetoa tu ushauri kuwa Watu waandike kwa Mkono.

Barua zote zinakuja Dododoma (OR-TAMISEMI) kwahiyo atakaye type na ataye andika kwa Mkono wote zitatufika na tutajua ipi tuchukue na ipi tuache.
Ko we uko hapo ofisini??kuna jmbo nataka kupata ufafanuzi..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani ninawausia Siku yoyote, pahala popote munapoona ombi la ajira na mukataka kuomba basi kama umeambiwa au hukuambiwa uandike barua! Wewe ni wajibu wako kuandika barua.

Usipoandika barua basi utatupiliwa mbali kwani itakuwa umepeleka vyeti tu lakini hukuomba kitu kwani BARUA NDIYO YENYE OMBI LA AJIRA (APPLICATION LETTER).

Ajira unaomba kwa kutumia barua, vyeti ni ushahidi tu wa kuonesha taaluma yako.

Narudia tena hata kama hukuambiwa uandike barua basi andika.

Barua ni lazima sio hiari
Asante kwa ushauri, barua zinaandikwa kwa mkono au typed.
 
Haina Shida Hapa Hapotolewi Mtu kwani Mimi sijamkamata Mtu Mkono kuwa asitype, bali nimetoa tu ushauri kuwa Watu waandike kwa Mkono.

Barua zote zinakuja Dododoma (OR-TAMISEMI) kwahiyo atakaye type na ataye andika kwa Mkono wote zitatufika na tutajua ipi tuchukue na ipi tuache.
Hahaaaa kichekesho et "zitatufika na tutajua ipi tuchukue na ipi tuache"
Acha kuzingua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaaaaa aiseeh mkuu nakuinbox jina langu nizingatie ....kuanzia leo sikupingi
YNWA
Haina Shida Hapa Hapotolewi Mtu kwani Mimi sijamkamata Mtu Mkono kuwa asitype, bali nimetoa tu ushauri kuwa Watu waandike kwa Mkono.

Barua zote zinakuja Dododoma (OR-TAMISEMI) kwahiyo atakaye type na ataye andika kwa Mkono wote zitatufika na tutajua ipi tuchukue na ipi tuache.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zamani Katika Matangazo ya Ajira walipokuwa wakieka kipengele cha kuandika barua katika walikuwa wakiweka Namna ya Kuandika barua ambapo Masharti Yake ni Kuwa Iandikwe kwa Mkono.

Lakini sikuhizi Matangazo yao wanayafanya Simple sana na ya kimtego ambayo huwa hawaandiki Vitu kama Kuambatanisha na barua iliyoandikwa kwa Mkono , na Veti kuwa Vimethibitishwa na Wakili (Hili kwa hatua ya Maombi sio lazima).

Lakini kwenye kuyachambua Maombi ya Waombaji unakutia Hivyo vitu wanaviangalia kwa 100%.

Na ndiyomana unamkuta Mtu anakosa ajira ikisha analialia hapa JF kwa kutokufuata taratibu.

Mkuu Barua kuandika kwa Mkono ni Lazima wala so hiari.

Kama hutaki ajira basi katype Barua uone Mziki wake.

Na Kuhusu kuandika barua kwa English Language hilo sina uhakika kama Halikubaliki, Lakini yanini kufika huko kwenye English Wakati kiswahili ni Kizuri na Kinakubalika?

Bora tumia lugha yako ya asili kwani English sio priority Satan a you any alia kukupa ajira.

Na kama ipo sehemu ya kuapload CV basi iandike uiapload itakusaidia.
shukran mkuu ila umeogeza mzigo wa kuhakiki vyeti kwa wakili!!!! likiwa linaangaliwa hili kazi si itakuwa kubwa sana?? na kwann hawasemi au nia ya kunyima watu kazi? na vipi wengine wanapata wakati hawajahakiki hivyo vyeti kwa wakili?
 
shukran mkuu ila umeogeza mzigo wa kuhakiki vyeti kwa wakili!!!! likiwa linaangaliwa hili kazi si itakuwa kubwa sana?? na kwann hawasemi au nia ya kunyima watu kazi? na vipi wengine wanapata wakati hawajahakiki hivyo vyeti kwa wakili?

Kipengele cha kuhakiki vyeti kwa Wakili nimekipigia Mabano kuwa sio lazima
 
hivi vyeti uapload saa ngapi ndo vikubali?? maana dah!!! watu wanasuccessed kuapload kweli??
 
Back
Top Bottom