sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Sijui tatizo nini??? Kwa hiyo kupika vzr kwa ajili ya familia ni kumuendekezq mume??? Kufanya usafi ndio kumuendekeza mume?? Kwa wanawake wanaojua kwanini wameolewa hizo kazi hapo sio shida wala utumwa.Kifupi shughuli za nyumbani ni za mwanaume na mwanamke. Huwezi mwanamke ukajitwisha hilo jukumu ukidhani ndio unamlinda mume. Huky kunaitwa kudekeza mwanaume kitu ambacho ni kosa kubwa unalolifanya kwa mahusiano. Labda umsome mwenzio uone anapenda hivyo, ila nae hatakua mpenzi bali atakua bwana wako nawe utakua mtumwa wake.
Ushindwe kupika vzr au kufanya usafi kwa kusingizia ni majukum ya wote...ngoja sasa aanze kula hotelini na kuchelewa kurudi...
