Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,786
Honey Faith , kumlinda mtu mzima ni sawa na kulinda bahari... Ukikaba huku kuna wanaovua kule.. Ukizunguka kule huku unawaachia..Tuache kudanganyanya huwezi mlinda mtu mwenye meno yake 32 ni ngumu sana
Mtu ajilinde mwenyewe. Tusipeane stress zisizo na maana
