Jinsi ya kumlinda mumeo

Jinsi ya kumlinda mumeo

Kwanini wewe usijifunze kumsikiliza na huo upuuzi wake? Au kumuelekeza kwa upendo tu!!! Mwanamke kaumbwa kuongea akinyamaza jiulize mara mia mia.

Inawezekana na wewe hujanielewa na ndo wale wabishi
sijasema kuongea ni kosa
mimi nimeenda na thread kuorodhesha vitu naona wanawake wakivifanya
itasaidia...haimaanishi ni lazima
au wasipovifanya basi hawafai....

hata mwanamke akiamua hataki kupika haimaanishi ndo hafai kuwa mke
hapa tunaoredha tu maoni yetu
ni bora wajue kupika
bora wawe wasafi
bora wasiongee ongee sana.....but maoni sio sheria......

kuhusu mimi ...mimi nita deal na mhusika kulingana na faida zake
naweza kumvumilia au kumshindwa kulingana na mazingira niliopo
na nikimuweza au kumshindwa haina maana nimemuonea
 
Kuchepuka ni evolutionary strategy kwa ajili ya survival. Hata mabibi wa zamani walishauriwa kuchepuka ktk mafunzo ya unyago!
 
Acha kukariri kwamba katika kila ndoa lazima mwanamke akupikie. Kuna maisha zaidi ya kupika panua akili.

Kuna watu wanaishi kwenye nyumba ambayo inawafanyakazi wa kusafisha na kupika, siongolei hawa wadada wa kazi naongelea wafanyakazi ambao wameenda shule na ni wataalamu wa kupika. Bado watu wana michepuko.
Note: pinga hoja kwa hoja na sio kuanza kuita watu majina ya ajabu eti msimbe?!
Wastaarabu hutofautiana hoja lakini kwa maneno ya busara.
Au wewe ni mgeni hapa jukwaani.
Unajua Mpendwa hata km mke anafanya Kazi na nymbn kuna wapishi,,,,,ni muhm sn mke kuitambua nafasi yako kwa mumeo.
Na unajua sifa moja kuu ya mke kibiblia ni ""kuwa msaidizi""""
Mungu akufundishe zaidi ktk hilo ukawe mwanandoa mwaminifu
 
Kuchepuka ni asili yetu, mtu hawezi kuacha asili yake kwa sababu ya kufanyiwa vijimambo kama hivyo. someni vitabu vya dini/historia mtagundua kitu.
Hapana kuchepuka c asili yetu,,,,,mm nimeweka wajibu au nafasi ya mke kwa mumewe.
Maana kwa kufanya ivyo ni km kutimiza wajibu wake
 
Pamoja na hayo uliyoyataja..lakini kutimiziana haja ya tendo la ndoa nalo ni muhimu sana.
Inanogesha utamu wa mahaba.. atakaemua kwenda nje kaamua mwenyewe,ila katimiziwa haja za ndoa zote.
Mungu akubariki na aifunike ndoa yako kwa Damu ya Yesu Kristo
 
Kweli, bora kanisa limekuja humu humu jf watu wapate kupona
 
na ku chat kwenyewe ni ujinga ujinga tu
eti 'umeshakula'? ....ndo 'unatoka'?
Subiri nimpate anaeniuliza uliza...ndo uchepuke vizuri. Mnashangaza nyie!!! Mkeo hutaki kuchat naye lakini mchepuko kabla hajakuanza wewe ndo unamuuluza..." Umechoka baby?" "fanya kazi taratibu isijichoshe leo bonge la show..."
 
Siku mtakapojua jua kuwa hakuna kishawishi wala sababu za kuchepuka ndipo fikra sahihi zitakuwa zimeeleweka.
Fanya zoezi dogo
Tafuta wanaume kumi wanaochepuka kisha waulize kwa nini wanachepuka?
Tafuta watu wa kada/uwezo/elimu/dini tofauti.
Hakuna atayekwambia anachepuka eti kwa kuwa mkewe ni mchafu au hajui kupika.
Hizo ni vijisababu tu ambavyo havina maana.
Kwa masomo yenu haya yasio na maana mmewafanya wanawake wengi waone kuwa iwapo mumewe anachepuka basi wa kulaumiwa ni yeye. Mnawatesa hawa wanawake hata kufikia hatua ya kuwa watumwa kwenye ndoa ili tu kukidhi haja na tamaa za.mwanaume.
Wengine mpaka wanaingiliwa kinyume na maumbile na wanaume wao wa ndoa kwa hofu asipompa hilo tundu basi atachepuka.
Sijui ni aina gani vitabu vya kiroho unavyosoma ikiwa una fikra na mtazamo hafifu kiasi hiki.
Kwani inamgharimu nini mwanaume kufua nguo za.mkojo za mtoto wako au kuhakikisha kuwa nyumba yako ni safi?
Wanawake na wanaume wanaochepuka kutoka kwenye mahusiano ya ndoa hawana sababu zaidi ya maamuzi ya makusudi ya kuvunja uaminifu na viapo vya ndoa.
Let's change instead of entertaining kuchepuka.
Una akili sana wew wangekuwepo watu 100 kama wew tz tungepiga hatua
 
Kuchepuka ni asili yetu, mtu hawezi kuacha asili yake kwa sababu ya kufanyiwa vijimambo kama hivyo. someni vitabu vya dini/historia mtagundua kitu.
Sio asili yetu,,,,,lakn mke kufanya hayo kunakupa haki, ili hata mumeo atatoka basi ww unakua huna hatia. EZEKIEL 18:20 Inasema roho itendayo dhambi ndiyo itakayokufa
 
Unazungumzia wanaume wa sayari ipi, hawa watu hata ubinuke hawalindiki yaani kama ni wa kutoka ataenda tuuu, kuna muda huwa nawaza hata maombi ambayo ni silaha kuu yanadunda sijui huwa inakuwaje yaani
Hapana uckate tamaa,, kwa kufanya majukumu yako kunakupa Haki ww, yy akitoka iyo Haki yako lazma impige
 
Nachukia tu pale jukumu la kulinda ndoa limekuwa la upande mmoja na upande mwingine upo kwa ajili ya kutafuta upenyo wa kuvuruga tu kuweka katika hatari ndoa muda wote embu muwe mnabalance hamjui kuwa mtu mzima halazimishwi labda aamue mwenyewe
Hongera sn my Dada miss chagga, nilikumic mzma we??????
Hapo nimeanza tu na wajibu Wa mke nitaendelea na wajibu Wa mume. Just stay online
 
Back
Top Bottom