Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,783
- 21,019
Anakumudu huyo ndio maana ana ujasiri wa kukujibu kwa nyodo hivyo.
Inaonekana wewe ni mpole mpole hivi hivyo ana hakika huwezi kumfanya kitu.
Jifanye umempotezea kwa muda kumdai. Kama baada ya wiki 2 mualike sehemu mkutane bila kukumbushia deni.
Akija chukua simu uzuge kuangalia, ukiitia mkononi ondoka nayo. Mwambie amalizie deni umpe simu au kama unayo pesa yake aliyotoa mrudishie uchukue simu yako.
Inaonekana wewe ni mpole mpole hivi hivyo ana hakika huwezi kumfanya kitu.
Jifanye umempotezea kwa muda kumdai. Kama baada ya wiki 2 mualike sehemu mkutane bila kukumbushia deni.
Akija chukua simu uzuge kuangalia, ukiitia mkononi ondoka nayo. Mwambie amalizie deni umpe simu au kama unayo pesa yake aliyotoa mrudishie uchukue simu yako.