Jinsi ya kumdai rafiki yako hela

Jinsi ya kumdai rafiki yako hela

Anakumudu huyo ndio maana ana ujasiri wa kukujibu kwa nyodo hivyo.
Inaonekana wewe ni mpole mpole hivi hivyo ana hakika huwezi kumfanya kitu.

Jifanye umempotezea kwa muda kumdai. Kama baada ya wiki 2 mualike sehemu mkutane bila kukumbushia deni.
Akija chukua simu uzuge kuangalia, ukiitia mkononi ondoka nayo. Mwambie amalizie deni umpe simu au kama unayo pesa yake aliyotoa mrudishie uchukue simu yako.
 
Aisee hii comment yako imenizidishia stress. Kwaiyo jamaa ananichukulia kama zoba fulan iv sio[emoji22] so sad
Ndio anakuona ww kenge tu huna unaloweza fanya.

Ushauri mrudishie hela yake chukua simu yako au kama unamuweza mpokonye simu alafu lala mbela ajue kuna watu wamelanduka.
Au kasombe vitu vyake mchomee hata nyumba asikuzoee
 
Jf wanaume asilimia kubwa mnadharau halafu hizo dharau mnaenda kutishia watu . Mi ushauri wangu mwite tu Kwa usalama mnaongea halafu ukiona hiyo note Yako sijui nitablet unaichukua unaondoka unamwambia tu Kuna kitu nilikuwa nimesahau kutoa ngoja nikabadilishie home Kwa upendo tu hata mnaend wote . Unamwambia subiria hapo geitini nakuja hutoki kimya na hela umpi unakaa kimya.

Ila kama hataki kukupa puuzia utapata baraka zingine
 
Anakumudu huyo ndio maana ana ujasiri wa kukujibu kwa nyodo hivyo.
Inaonekana wewe ni mpole mpole hivi hivyo ana hakika huwezi kumfanya kitu.

Jifanye umempotezea kwa muda kumdai. Kama baada ya wiki 2 mualike sehemu mkutane bila kukumbushia deni.
Akija chukua simu uzuge kuangalia, ukiitia mkononi ondoka nayo. Mwambie amalizie deni umpe simu au kama unayo pesa yake aliyotoa mrudishie uchukue simu yako.
Ushauri gani huu? Hovyo kabisa
 
Fanya hivyo ila ufanye ukiwa na police ukimuacha police peke yake akipewa hela anakupotezea wanakuzunguka
Tatizo apa Dar sina connection na police yeyote, nina ndugu yangu mmoja ni OCD central police mkoa flani ila sipendi kumshirikisha personal issues zangu maana naona sio vizuri kutumia cheo chake kujinufaisha.

Af huyu jamaa naemdai pia Baba ake amewah kuwa RPC mkoa xxxx so nikifikiria pia mambo ya polisi naona kama sitotoboa[emoji22]
 
Jf wanaume asilimia kubwa mnadharau halafu hizo dharau mnaenda kutishia watu . Mi ushauri wangu mwite tu Kwa usalama mnaongea halafu ukiona hiyo note Yako sijui nitablet unaichukua unaondoka unamwambia tu Kuna kitu nilikuwa nimesahau kutoa ngoja nikabadilishie home Kwa upendo tu hata mnaend wote . Unamwambia subiria hapo geitini nakuja hutoki kimya na hela umpi unakaa kimya.

Ila kama hataki kukupa puuzia utapata baraka zingine
Daah nacheka kama mazuri, na huu ni ushauri? [emoji1787]
 
Jf wanaume asilimia kubwa mnadharau halafu hizo dharau mnaenda kutishia watu . Mi ushauri wangu mwite tu Kwa usalama mnaongea halafu ukiona hiyo note Yako sijui nitablet unaichukua unaondoka unamwambia tu Kuna kitu nilikuwa nimesahau kutoa ngoja nikabadilishie home Kwa upendo tu hata mnaend wote . Unamwambia subiria hapo geitini nakuja hutoki kimya na hela umpi unakaa kimya.

Ila kama hataki kukupa puuzia utapata baraka zingine
Comment yako imenitia tabasamu ingawa inafikirisha sana.

Asante kwa ushauri Binti Maua[emoji120]
 
Anakumudu huyo ndio maana ana ujasiri wa kukujibu kwa nyodo hivyo.
Inaonekana wewe ni mpole mpole hivi hivyo ana hakika huwezi kumfanya kitu.

Jifanye umempotezea kwa muda kumdai. Kama baada ya wiki 2 mualike sehemu mkutane bila kukumbushia deni.
Akija chukua simu uzuge kuangalia, ukiitia mkononi ondoka nayo. Mwambie amalizie deni umpe simu au kama unayo pesa yake aliyotoa mrudishie uchukue simu yako.
Mimi ni mpole sana na nina huruma sana mkuu, naona kaamua kutumia izo weakness zangu kujinufaisha[emoji22]

Asante kwa ushauri wako [emoji120]
 
Back
Top Bottom