Premij canoon
JF-Expert Member
- May 27, 2018
- 1,275
- 2,976
Mkuu kwanza pole kwa hili sakata.
Kwa mujibu wa hizi sms zenu, majibu yake yanaonesha hiyo pesa ndio imetoka ntolee hatorudisha tena.
Mlikubaliana umuuzie kwa 500k, ila alipokukosa na ukamdirect kwa mdogo wako hili ndio lilikua kosa la kimkakati. Alitumia mwanya huo kufanya hujuma yake.
Baada ya kupata simu alishaamua liwalo na liwe,hata urafiki ukivunjika mkawa maadui basi yeye atakua ametoka na kitu kwenye huo urafiki wenu, yaani yeye atakua winner na ww utakua mpotezaji.
Kabla sijakushauri je una txt zinazoonesha makubaliano yenu kwamba simu utamuuzia kwa 500k?
Kwa mujibu wa hizi sms zenu, majibu yake yanaonesha hiyo pesa ndio imetoka ntolee hatorudisha tena.
Mlikubaliana umuuzie kwa 500k, ila alipokukosa na ukamdirect kwa mdogo wako hili ndio lilikua kosa la kimkakati. Alitumia mwanya huo kufanya hujuma yake.
Baada ya kupata simu alishaamua liwalo na liwe,hata urafiki ukivunjika mkawa maadui basi yeye atakua ametoka na kitu kwenye huo urafiki wenu, yaani yeye atakua winner na ww utakua mpotezaji.
Kabla sijakushauri je una txt zinazoonesha makubaliano yenu kwamba simu utamuuzia kwa 500k?