Wakuu naomba niulize. Hivi ukifanikiwa kuomba kazi kupitia website ya utumishi alafu ukapata message kwenye email yako, je lazima nitaitwa kwenye interview au sio lazima? Je, nikikosa kuitwa pia nitapata message pia ya kukosa kuitwa?
 
Afu kule mbona cjawah kuona nafas kwa form six kushuka chini.? Au ndo wanahitajika wa vyuo tuu.?
 
Majibu sahihi ni hivi, ukituma application kwenye ajira aportal, Unatakiwa uwe unatembelea mara kwa mara akaunti yako ya ajira portal, utakuta majibu wamekuwekea kwenye application status. ukikuta umeandikwa shortlisted ujue umepata interview, watakuwa wamekuandikia tarehe ya interview na sehemu gani interview inafanyika. na ukikuta application status rejected maana yake hujapata interview, ukikuta application status pending maana yake application yako bado ipo kwenye mchakato.
Shida ya ajira portal ni kwamba hawakupigii simu kukujulisha kwamba umepata interview na wala hawakutumii email ya interview.
yaani majibu utapata kwenye account ya ajira portal. Na hii ni hasara kwa mwombaji kwasababu sio kila mtu anakuwa anatumia internet kila siku. kuna majukumu ya kila siku ambayo mtu anakuwa yuko bize. Ningeshauri ajira portal iwe inatuma hata msg za sms za kuwajulisha interview kwa waombaji wote kama inaona gharama kupiga simu kwa kila mwombaji. mbona taasisi zingine zinapiga simu moja kwa moja kwa mwombaji kumjulisha kwamba ana interview.
 
Majibu sahihi ni hivi, ukituma application kwenye ajira aportal, Unatakiwa uwe unatembelea mara kwa mara akaunti yako ya ajira portal, utakuta majibu wamekuwekea kwenye application status. ukikuta umeandikwa shortlisted ujue umepata interview, watakuwa wamekuandikia tarehe ya interview na sehemu gani interview inafanyika. na ukikuta application status rejected maana yake hujapata interview, ukikuta application status pending maana yake application yako bado ipo kwenye mchakato.
Shida ya ajira portal ni kwamba hawakupigii simu kukujulisha kwamba umepata interview na wala hawakutumii email ya interview.
yaani majibu utapata kwenye account ya ajira portal. Na hii ni hasara kwa mwombaji kwasababu sio kila mtu anakuwa anatumia internet kila siku. kuna majukumu ya kila siku ambayo mtu anakuwa yuko bize. Ningeshauri ajira portal iwe inatuma hata msg za sms za kuwajulisha interview kwa waombaji wote kama inaona gharama kupiga simu kwa kila mwombaji. mbona taasisi zingine zinapiga simu moja kwa moja kwa mwombaji kumjulisha kwamba ana interview.
hapo kwenye kutuma message wakiwa serious wataweza lakin kwenye kupigiana simu si rahisi maana sometime wanashortlist watu zaidi ya buku hapo sijui utapigia wangapi bt kwakuwa sisi ndo wenye shida basi hakuna namna tujitahid japo kwa wiki mara mbili kutembelea site yao .
 
Majibu sahihi ni hivi, ukituma application kwenye ajira aportal, Unatakiwa uwe unatembelea mara kwa mara akaunti yako ya ajira portal, utakuta majibu wamekuwekea kwenye application status. ukikuta umeandikwa shortlisted ujue umepata interview, watakuwa wamekuandikia tarehe ya interview na sehemu gani interview inafanyika. na ukikuta application status rejected maana yake hujapata interview, ukikuta application status pending maana yake application yako bado ipo kwenye mchakato.
Shida ya ajira portal ni kwamba hawakupigii simu kukujulisha kwamba umepata interview na wala hawakutumii email ya interview.
yaani majibu utapata kwenye account ya ajira portal. Na hii ni hasara kwa mwombaji kwasababu sio kila mtu anakuwa anatumia internet kila siku. kuna majukumu ya kila siku ambayo mtu anakuwa yuko bize. Ningeshauri ajira portal iwe inatuma hata msg za sms za kuwajulisha interview kwa waombaji wote kama inaona gharama kupiga simu kwa kila mwombaji. mbona taasisi zingine zinapiga simu moja kwa moja kwa mwombaji kumjulisha kwamba ana interview.
Application status yangu mimi huwa haibadiliki. Always inanyesha received mkuu
 
Habarini

Naomba mnisaidie nawezaje kuedit taarifa zangu kwenye tovuti ya ajira "utumishi"

Kuna nafasi zimetangazwa wanataka warehouse assistant qualification awe na diploma.

Mimi nina degree nataka kuapply kwa diploma je naweza kufuta qualification hiyo.

Maana naona wameweka option ya kudelete transcript tuu ,huku kwingine hawajaweka.

Msaada
 
Back
Top Bottom