Jinsi ya kuandika barua ya kupostpone mwaka

Duh! utakuwa umejipata kwenye jambo serious sana...maana kuahirisha masomo mwaka wa tatu, katikati ya semester ya kwanza! huwezi kabisa kuvumilia maana ni mwezi wa sita tu namaliza chuo Patric! Ulipata nafasi ya kushauriana na Dr Baanda juu ya hili, au hata Dean of students! Pole sana sana!
Ndiyo,Dr Banda nmekutana naye mwezi wa kumi na mbili kabla ya krismas,,,then nkamwona dean of faculty+school,,Kwa tatzo nilonalo ,,walikubaliana nifanye hivo,,, kabla cjafanya mitihan ya semister ya KwanzA,,
 
Nasoma AGRICULTURAL ENGINEERING mwaka wa tatu,
Hasara kabisa
Yaani mwaka wa tatu hujui kuandika official letter
Sijui utaombaje kazi na hata sitaki kujua utajibu madudu gani kwenye interview
Au labda una "KONEKTION" ya kazi inakusubiri kwahiyo sawa tu,
duuhh... bongonyoso
 
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu SUA. Naombeni msaada wa jinsi ya kuandika barua ya kuhairisha mwaka chuo kikuu!!
Pumbaf......úuuuuuu! Acha kabisa kusoma maana elimu ya mpaka A-level haijakusaidia...hata ukiendelea huko chuo bado haitakusaidia! Usiendelee kupoteza muda wako na shule ya chuo kikuu! Fanya kazi nyingine unayoimudu!
 
Mkuu wakati mwingine hii ni kukosa umakini,yaani chuo kizima umekosa wakuuluza hadi uje huku uulize mtandaoni

Ok, Fanya hivi:-
1. Chukua karatasi plain isiyo na maandishi.
2.chukua kalamu ya wino mweusi au bluu
3.chukua rula kisha piga msitari Wa pambizo kama karasi yako haina msitari Wa pambizo.
4.andika anwani yako ya chuo mkono wakulia upande Wa karatasi,baada ya hapo chini ya anwani yako andika tarehe ya siku barua ilipoandikwa.
5.andika anwani mkuu Wa chuo chako upande Wa kushoto Wa karatasi.
6.barua yako lazima ipite kwa mwadili(dean) kwahiyo andika K.k mwadili ,kisha andika anwani ya mwadili wako.
7.anza na opening clause, dear sir/madam,baada ya hapo kichwa cha barua dheni ,salami ya maamkizi,lengo la barua,mwisho Wa barua,sahihi yako na mwisho ni jina.


Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Theory
 
Ukubwa wa SUA siyo kipimo Cha kupatkana kila kitu in mind content,,asilimia kubwa apa kunawanafunzi walosoma PCM,EGM,PCB,CBA,PGM,CBE,michepuko ya sayansi na social science siyo art,,kuuliza siyo ujinga kwasabu nataka kujua usahihi wa Jambo ninalotaka kulifanya,,,mjinga ni ww unayeshangaa kwann nauliza ili hali hujui najua kiasi gani!,Kama unajua ulipaswa utoe maelekezo kwa ulichoombwa kutolea maelezo,baadala ya kuidhininsha ukubwa wa chuo,,babako kuwa na Mali haimaanishi zile Mali ni zakwako hatakama ww ni mwanae!,
Sasa povu lote la nini na umbumbumbu wako? Nenda kwa mwenyekiti wa mtaa ambaye ni darasa la saba failure kamuulize atakusaidia kukuandikia barua hiyo, we mpe anuani tu ya kule inakokwenda na yako basi! Mfyuuuuu! Chuo kikuuuuuuu! Hivi tunafail wapi jamani!
 
Back
Top Bottom