Ukiwa Chuo Kikuu haya ni muhimu ili usiwe kama "form 10" tu

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,681
46,362
Chuo Kikuu haitakiwi ku solve past papers kama wanafunzi wa sekondari.

Chuo kikuu haitakiwi kusoma madesa yaliyorahisishwa bali vitabu halisi.

Chuo kikuu inatakiwa ufanye research mwenyewe, sio kuwapa wengine wakufanyie.

Chuo kikuu hutakiwi kuibia kwenye mitihani.

Chuo kikuu nchi Tanzania inatakiwa uijue lugha ya Kingereza na Kiswahili kwa ufasaha.

Ukimaliza chuo kikuu inatakiwa ujue kujenga hoja kwa logic.

Ukimaliza chuo kikuu unatakiwa ujue kuandika CV na barua ya maombi ya kazi mwenyewe.
 
Apana mkuu mzazi wangu mmoja alikua pia mwalimu ,nimekuzwa na pesa ya ualimu ,naheshimu sana.
Ok.. Si kwa wanaosoma Education pekee, ni asilimia kubwa Wanafunzi hawapewi madini yanayohitajika na wao pia hawatafuti Madini.

Hii inatokana na technology tuliyonayo kwa sasa kwamba wanajiaminisha kila kitu kipo mitandaoni.

Binafsi Elimu ya Chuo kikuu haijanipa shavu, elimu nyingine niliyojiongeza ndio imenipa shavu. Hivyo, wasomi wajitahidi sana kuinvest kwenye Elimu mbalimbali.

Kukusanya maarifa huku na huku kunajenga Akili ya kujitambua na kujitofautisha na kundi fulani.
 
Ok.. Si kwa wanaosoma Education pekee.. ni asilimia kubwa Wanafunzi hawapewi madini yanayohitajika na wao pia hawatafuti Madini.

Hii inatokana na technology tuliyonayo kwa sasa kwamba wanajiaminisha kila kitu kipo mitandaoni.

Binafsi Elimu ya Chuo kikuu haijanipa shavu.. elimu nyingine niliyojiongeza ndio imenipa shavu. Hivyo, wasomi wajitahidi sana kuinvest kwenye Elimu mbalimbali..

Kukusanya maarifa huku na huku kunajenga Akili ya kujitambua na kujitofautisha na kundi fulani.
Kabisa mkuu
 
Past paper zipo chuoni ,maswali ya semister mengine yanajirudia tu ....hata slide na notes sometimes Ni zile zile Kwa baadhi ya masomo ...
 
Chuo Kikuu haitakiwi ku solve past papers kama wanafunzi wa sekondari.

Chuo kikuu haitakiwi kusoma madesa yaliyorahisishwa bali vitabu halisi.

Chuo kikuu inatakiwa ufanye research mwenyewe, sio kuwapa wengine wakufanyie.

Chuo kikuu hutakiwi kuibia kwenye mitihani.

Chuo kikuu nchi Tanzania inatakiwa uijue lugha ya Kingereza na Kiswahili kwa ufasaha.

Ukimaliza chuo kikuu inatakiwa ujue kujenga hoja kwa logic.

Ukimaliza chuo kikuu unatakiwa ujue kuandika CV na barua ya maombi ya kazi mwenyewe.
Amka usije ukajikojolea.
 
Vyuo vikuu vina wanafunzi wazito sana kwa sasa, hili tatizo lipo pia mpaka kwa baadhi ya wakufunzi wao.

Ndio maana kila siku nasema, tulifanya makosa makubwa sana kuigeuza elimu kuwa biashara na ikatumika pia kisiasa. Tumeleta madhara ambayo hatuwezi kuyarekebisha.

Tuna wahitimu wenye degree za kwanza na hata uzamili ambao unajiuliza hata hii degree ya kwanza aliipatapata vipi.

Kugeuza elimu biashara imefanya vyuo vikuu kuendelea kulea watu wasio na sifa za kuendelea kubaki vyuoni ili waendelee kupata pesa.
Past paper zipo chuoni ,maswali ya semister mengine yanajirudia tu ....hata slide na notes sometimes Ni zile zile Kwa baadhi ya masomo ...


 
Group discussion na kusolve past papers ndio njia kuu za kutoboa vyuo tz.

Ripoti za Field work zinaeditiwa miaka nenda rudi, research nazo ujanja ujanja tu na watu kibao wanapasua.

Kingereza hata malecturer kinawapiga chenga wala hakina tatizo,
 
Group discussion na kusolve past papers ndio njia kuu za kutoboa vyuo tz.

Ripoti za Field work zinaeditiwa miaka nenda rudi, research nazo ujanja ujanja tu.

Kingereza hata malecturer kinawapiga chenga wala hakina tatuzo,
Namshangaa huyoo mtoa maada ,huko chuoni hata ma lecturers wanabonga Kiswahili ,kwenye lecture room wanachanganya kishwahili na kiingereza ...mwambie aendee saizi tu pale udsm yombo 4&5 asikie lecture anavofundisha .,.....
 
Group discussion na kusolve past papers ndio njia kuu za kutoboa vyuo tz.

Ripoti za Field work zinaeditiwa miaka nenda rudi, research nazo ujanja ujanja tu na watu kibao wanapasua.

Kingereza hata malecturer kinawapiga chenga wala hakina tatizo,
Mwafa
 
Ukiwa chuo kikuu mwaka wa kwanza jiulize ikitokea hujapata ajira ya kitaaluma utaishije? Ukipata jibu anza hiyo plan B toka chuo. Vingine ni mbwembwe
 
Chuo Kikuu haitakiwi ku solve past papers kama wanafunzi wa sekondari.

Chuo kikuu haitakiwi kusoma madesa yaliyorahisishwa bali vitabu halisi.

Chuo kikuu inatakiwa ufanye research mwenyewe, sio kuwapa wengine wakufanyie.

Chuo kikuu hutakiwi kuibia kwenye mitihani.

Chuo kikuu nchi Tanzania inatakiwa uijue lugha ya Kingereza na Kiswahili kwa ufasaha.

Ukimaliza chuo kikuu inatakiwa ujue kujenga hoja kwa logic.

Ukimaliza chuo kikuu unatakiwa ujue kuandika CV na barua ya maombi ya kazi mwenyewe.
Wengi wao hawajui bado ni vilaza
 
Back
Top Bottom