Hi JF, nimekuwa nikivuta sigara kwa miaka miwili, sasa nataka kuacha lakini nashindwa nikijitahidi nakaa hata siku tatu afu naendelea. Nimejaribu tangu January mwaka huu lakin nimeshindwa. Muda mwingine nahisi mapafu yangu yanauma na tatizo itzkuwa ni sigara. Naombeni ushauri wenu au kama kuna dawa naomba kujulishwa.
inaitwa bange!Vuta bangi
hi jf, nimekuwa nikivuta sigara kwa miaka miwili, sasa nataka kuacha lakini nashindwa nikijitahidi nakaa hata siku tatu afu naendelea. Nimejaribu tangu january mwaka huu lakin nimeshindwa. Muda mwingine nahisi mapafu yangu yanauma na tatizo itzkuwa ni sigara. Naombeni ushauri wenu au kama kuna dawa naomba kujulishwa.
mbona rahisi sanaaa...fanya kama nilivyofanya mie.
1- acha kuvuta sigara anza kuvuta bangi ila akikisha unakula mmea dry..pusher wako asichanganye na sigara yoyote...kula mmea asilia.
2- hakikisha hauvutii bangi vijiweni..vutia bangi yako nyumbani na uwe unawasha mashada au udi ili usiwazinguwe majirani
3- uwe unavuta kwa kipindi maalumu hasa pale unapokuwa unajisikia hamu ya kuvuta.
4- anza kupunguza matumizi ya bangi taratibu
5- mwisho wa siku unakuwa umeacha sigara na uanatoka kwenye bangi tartiiibuuuuuuu.
Unaweza ukahisi ni ushauri wa kipuuzi ila kwa mujibu wa wataalamu..bangi haina nicortin kitu ambacho huwafanya wavuta sigara washindwe kuacha...kwa hiyo unaweza kuacha bangi kirahisi kuliko kuacha sigara kwa kuwa bangi haina uteja unaosababishwa na nircotini.
Kila la heri..kwa anayetaka kuacha pombe nayo ni rahisi nitafute nikupe mbinu...na hata kama kuna mwingine anataka kuacha mademu...munakaribishwa kwa ushauri....angalizo..sina ushauri na majibu kwa wanaotaka kuacha yafuatayo
1- unga/drugs
2- kupiga punyeto/nyeto
3- kupiga chabo
sina experience na mara nyingi huwa sipendi kumshauri mtu ili akajaribu..namshauri mtu kwa vitu nilivyovihakiki mie mwenyewe kama living example.
Usiache, endelea kuvuta tu, kwani ina madhara?[/QUnahitaji ushauri wako ndg yng.
nafanya sana mazoezi,kila siku lazma niende kukimbia coco beach asubuh na jioni napiga sana push up nikiwa chumbani...ila usiku nikila au nikinywa maji nakua na hamu sana ya sigara. Zaman nlivyokua secondary mpaka chuo nlikua navuta sana kijiti ila nkaweza kuacha nna muda wa miaka 2 sijavuta.tatizo lipo kwenye sigara tu nimekua addicted sana.
nafanya sana mazoezi,kila siku lazma niende kukimbia coco beach asubuh na jioni napiga sana push up nikiwa chumbani...ila usiku nikila au nikinywa maji nakua na hamu sana ya sigara. Zaman nlivyokua secondary mpaka chuo nlikua navuta sana kijiti ila nkaweza kuacha nna muda wa miaka 2 sijavuta.tatizo lipo kwenye sigara tu nimekua addicted sana.