Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,457
- 27,104
Dawa yake usiinunue tu
Mm nimevuta sigata miaka mingi na nilianza kwa kuangalia wafanyaki wa home by then nilikuwa shule ya msingi then secondary nikiwa high school sikuvuta niliogopankufukuzwa Nitaenda Diploma Nikita nankuacha kama mara 3 Nikaanzqbkazi niliachankdg nikarydi tena kwa miaka kama 2 nitaenda kusema Degree nikavuta kwa miaka 2 Nikarydi MTAA nikavuta sana on and off kwa bipindi viewfinder hadi 2019 november sasa Sijui kama ndo nimeacha au ....sio Tahiti nicotine ni shida mikubwa nguvu toka ndani yako IkuongozeBila kuzunguka sana,
Ni mwaka wa pili sasa nimekua mvutaji wa sigara mpaka imekua naanza kutisha lips za midomo yangu.
Sasa imefika wakati wa mim kuachana na uvutaji hatari wa sigara,
Nipo tayar kupokea maoni na ushauri wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm nimevuta sigata miaka mingi na nilianza kwa kuangalia wafanyaki wa home by then nilikuwa shule ya msingi then secondary nikiwa high school sikuvuta niliogopankufukuzwa Nitaenda Diploma Nikita nankuacha kama mara 3 Nikaanzqbkazi niliachankdg nikarydi tena kwa miaka kama 2 nitaenda kusema Degree nikavuta kwa miaka 2 Nikarydi MTAA nikavuta sana on and off kwa bipindi viewfinder hadi 2019 november sasa Sijui kama ndo nimeacha au ....sio Tahiti nicotine ni shida mikubwa nguvu toka ndani yako Ikuongoze
Kamuone daktari mkuu, kuna dawa nyingi sana za kuweza kukusaidia kuacha kuvuta sigara.
Njia pekee ni ku AMUA KUACHA KUVUTA SIGARABila kuzunguka sana,
Ni mwaka wa pili sasa nimekua mvutaji wa sigara mpaka imekua naanza kutisha lips za midomo yangu.
Sasa imefika wakati wa mim kuachana na uvutaji hatari wa sigara,
Nipo tayar kupokea maoni na ushauri wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Njia pekee ni ku AMUA KUACHA KUVUTA SIGARA
Wewe hujaamua mkuu. Ukiamua kiukweli hivyo visingizio vyote haviwezi kukukwamishaIpo hivi mkuu,,,cha kwanza nimeshaamua kuacha kuvuta sigara.....lakn trust me brain ikisha adapt condition ya kuwa na nicotine mwilini....basi ndo mda wote mtu unapata kiu ya sigara na kuna wakati hata chooni huwendi mpka uvute kitu...yn ukienda bila kuvuta sigara basi utajikamua hata SAA zima kisitoke kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Vuta makishabu utaacha automatically
Usije roe jukumunlako unahitaji we ndo uwe chanzo mm kwa sasa nimejitahidi kwa miezi karibu sita man nimaendea
Usije roe jukumunlako unahitaji we ndo uwe chanzo mm kwa sasa nimejitahidi kwa miezi karibu sita man nimaendea
Ubaya wa majani pombe inakukataa maisha yako yote. Nilivuta ganja nikashangaa hata bia 3 siwezi kunywa wakati nilikuwa namaliza kreti kwa sikuMbona simpo tu..
Anza kutumia bangi then fegi unaipotezea taratibu huku ukiendelea kula mjani.
Baada ya hapo nicotine ya fegi itaanza kupungua na hatimaye unaibwaga mazima.
NB: nimekwambia uanze kutumia bangi kwa maana mazingira ya kuacha bangi ni rahisi zaidi kuliko hayo masigara!