Uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako.Wazeee nilianza kimasihara masihara sasa naona embassy inanikolea has a!!!nilikuanajifariji kuwa nitaacha sasa naona nashindwa!!! Wife kapiga keleleeee kachemka sasa naombeni ushauri watanzania wenzangu!!!embasy inanizidi nguvu jamani!!! Hasa nikiwa nakunywa kasafari kabarid hamu inanizidi wazeee !!! Msaada jamani
Maamuzi mkuu...ukiamua unaacha
Sigara ni hatari kwa afya yako, ukilijua hilo utaacha bila hata kuambiwa
Kila kitu ni hatari kwa Afya yako kama utazidisha,unakuta mtu anaunguza maini yake kwa pombe kali halafu anampa ushauri mvuta Sigara kua Sigara ni hatari! unakuta mtu ananunua malaya bila kuogopa Ukimwi halafu anampa ushauri mvuta Sigara kua Sigara ni hatari!Sigara ni hatari kwa afya yako, ukilijua hilo utaacha bila hata kuambiwa
Dawa ni wewe mwenyewe tu kuamua kuacha japo ni ngumu sana.Sawa mkuu. Kwaiyo hakuna dawa may be or something
Dawa ni wewe mwenyewe tu kuamua kuacha japo ni ngumu sana.
Tiba ni kuacha, kuhusu dawa sifahamu. Nenda kwa wataalamu wa afya kwa msaada zaidi.Sawa mkuu. Kwaiyo hakuna dawa may be or something
Uliyoyataja hapo yote siyafanyi...Kila kitu ni hatari kwa Afya yako kama utazidisha,unakuta mtu anaunguza maini yake kwa pombe kali halafu anampa ushauri mvuta Sigara kua Sigara ni hatari! unakuta mtu ananunua malaya bila kuogopa Ukimwi halafu anampa ushauri mvuta Sigara kua Sigara ni hatari!
Hiyo comment nimeiandika in general sio kwamba namaanisha unayafanya wewe japo nimequote comment yako,Uliyoyataja hapo yote siyafanyi...
Ameomba msaada kuhusu sigara, sasa sjui mambo ya ukimwi yanahusiana vipi hapa
Okay.Hiyo comment nimeiandika in general sio kwamba namaanisha unayafanya wewe japo nimequote comment yako,
Have a good day buddy.
Mimi nimeona wazee wengi sana wamefika 90s and 80s race zote Weupe na Weusi huku wakitumia hizi Mambo kwa wingi yaani kama Chakula au Dawa
But smoking is a never ending explained.
Je wavutaji wavute nini badala ya Sigara? Because I used to see Kings smoke something even at palaces in the Ancient Asian Kingdoms in Movies and Books
Bangi ukivuta mara 1 tu kwasiku unakua huvuti tena, kuna watu wanavuta bangi tu but hawavuti sigaraMimi nimeona wazee wengi sana wamefika 90s and 80s race zote Weupe na Weusi huku wakitumia hizi Mambo kwa wingi yaani kama Chakula au Dawa
But smoking is a never ending explained.
Je wavutaji wavute nini badala ya Sigara? Because I used to see Kings smoke something even at palaces in the Ancient Asian Kingdoms in Movies and Books