hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,564
- 73,877
aaahh",.. wakunyumba nitake radhi tafadhali" ina maana wewe ni mgeni na mimi au ""?Wewe unaelewa Sana.
aaahh",.. wakunyumba nitake radhi tafadhali" ina maana wewe ni mgeni na mimi au ""?Wewe unaelewa Sana.
Tofauti nishaiona mkuu, so kumpa mwanamke hela ni sawa na umemtupia mate mtu usoni na kumpa pesa...aaahghh wewe kumbe wataka " league" hapa hatuzungumzii swala la kudhulumiwa" tuna zungumzia uwezekano " wa mtu" kutumia alichonacho"(peas), huku nafsi yake ikiwa huru"yaani ameridhia"... huyo pablo kuna wakati" alikuwa" anaweza kukutemea mate usoni" halafu anakupa $500 ... wakati huo huo upande wa pili ukimdhulumu hiyo hiyo $500 anaweza hata kukutoa roho "... so umeshaiona " tofauti ya hayo matukio mawili hapo".... au bado wahitaji darasa ""?
Usiongelee hiyo kapo Kama vile Jack alimkuta Mengi Hana hela. Unadhani Jack kampendea mzee Machache kidevu chake?Hao wababa washajikatia tamaa, myself siwez kumkubali dem anayeidharau pesa na kuitumia hovyo hovyo, napenda anayenifanya niwe makini na kuweka akiba...cheki Mr Mengi na Jacky, ile couple ndo nayoona imekaa fresh kwenye wallpaper. Wote wametulia hawana mbwembwe aah ila cheki vidada vyetu vinavyojifanya vizuri ila vinajianika tu uchi
Hahahahaa. Naomba radhi ndugu yanguaaahh",.. wakunyumba nitake radhi tafadhali" ina maana wewe ni mgeni na mimi au ""?
Pesa, umaarufu, nguvu ya kisiasa, hayo yote ndo yalimvutia binti akanasa, ila pia hakuwa wa kujivunga km wale wazuriUsiongelee hiyo kapo Kama vile Jack alimkuta Mengi Hana hela. Unadhani Jack kampendea mzee Machache kidevu chake?
Hahahaaa, au ndio ukiona manyoya......nikanywa
Unasema ? We Jack umemjua baada ya kuwa na Mengi eeeh? Basi pole.Pesa, umaarufu, nguvu ya kisiasa, hayo yote ndo yalimvutia binti akanasa, ila pia hakuwa wa kujivunga km wale wazuri
Asante mkuu, ngoja nishushie na hii bidhaaUnasema ? We Jack umemjua baada ya kuwa na Mengi eeeh? Basi pole.
sasa nikitaka kusema yoote hapa haitapendeza ujue...Hahahaaa, au ndio ukiona manyoya......
hahaa" wewe kichwa chako bwana" ..Tofauti nishaiona mkuu, so kumpa mwanamke hela ni sawa na umemtupia mate mtu usoni na kumpa pesa...
Nime like mkuusasa nikitaka kusema yoote hapa haitapendeza ujue...



Mkuu kichwa kigumu kweli kinajaribu kujifunza hapahahaa" wewe kichwa chako bwana" ..


😛😛😛nuthn serious!hii usiiweke kwenye hansard kichaa wanguNime like mkuu![]()
Sawa ndugu mjumbeee😛😛😛nuthn serious!hii usiiweke kwenye hansard kichaa wangu


Mfanye wa dharura huyo...! Huwezi jua.taken...
ah wapi!Mfanye wa dharura huyo...! Huwezi jua.
Kunjua nafsi bibie.ah wapi!
Sasa hapa umeanza kunichanganya. Hii lugha gani umeandika ?
Sasa hapa umeanza kunichanganya. Hii lugha gani umeandika ?