Jinsi watu wanavyotongozana JF

Jinsi watu wanavyotongozana JF

Hapana. Expensive wanasema wao. Unaweza ona Fulani expensive kumbe kuna mwenzio anamuoba ndo demu wa kumla akiwa na nyege za kula mwanamke asiemsumbua kwa chochote
Yah expensive kwa huyu, ila kwa huyu ni mtelezo tena siku nyingine anamwona kachakaa
 
Kwan mm nilkuwa najua kama ana mke humu acha apangwe hata kwenye backup I'd amenifata watapangwa sanaaa
Hahaahhaaa.ukija huku kujisifia Kama kote unapendwa. Wanaume na wanawake wenye mabebez huku wakati wengine mmewapanga bado heshima kwenu
 
tulisema mwanzon ...wakaka wenye wadhifa wao hawanaga kelele mtandaon! mkaja kuchamba hapa!kuna zile kelel za kuboaaa! huyo ht salam waweza usijibuu! bora aseme huyu muamin
Sasa km tukiwa tunajazana pm si JF itakuwa dating site, au hooking site, wengine tunaenjoy kupiga stori na nyie na PM tunapenda tuje pia, na bei mtupunguzie kidogo
 
Back
Top Bottom