Hahahah kila mtu aje na I'd ya bwana akee mm ninao pm nawapa tu mascreenshortAu na sumbai anakuzungukiaga nini? Hahahha









Mwanamke mvivu anapenda mwanaume mwenye pesa, wahenga walisema; "F** WITH A WOMAN WHO HELPS YOU HUSTLE, NOT WHO WATCHES YOU STRUGGLE" kwa kikwetu sijajua wanamaanisha niniso mnaona shiiida wenyewe!kweli wanaume mmetofautiana sana sana!MUNGU ENDELEA KUWAWEKA HAI WANAUME WANAOJUA KUJALI !WAENDELEE KUDAMSHI KAMA WOOOTE!😉
ww ndo umeharibu sana kusema anashinda pm kwako!mm nipo hapa kwa utani tu... wala sina kitu nachojua... mbn mm Mshana Jr anakesha pm kwangu thithemi hapa😛 jus kiddin bibi wee!Wewe unachochea ndoa za watu![]()
Sio hasira,wengi wenu humu sio wote hamna hadhi ya kutumiwa hiyo laki moja...huo ndo ukweli mchungu masikioni kwenuMchezo hauhitaji hasira...relax
Hahahaha hata mm nachitchat hhahaha mme wake ni s tu wala asife na pressureww ndo umeharibu sana kusema anashinda pm kwako!mm nipo hapa kwa utani tu... wala sina kitu nachojua... mbn mm Mshana Jr anakesha pm kwangu thithemi hapa😛 jus kiddin bibi wee!






Angeanza na mesej ya muamala uliofanikiwa,Ulikuja na hadithi za sungura na fisi nkaona unanikanyagia waya tu 😀😀😀
Tatizo wengi wao humu hawana hadhi ya kutumiwa iyo laki..ilitakiwa wenyewe ndo wawatumie hao wanaume hiyo laki...ukweli lazima usemweHahaha, tuma tu Mkuu si ndio wanavyotaka 😀😀
Ngoja mi niende kwanza au vpAnza wewe nakusubirii
Mwanamke mvivu anapenda mwanaume mwenye pesa, wahenga walisema; "F** WITH A WOMAN WHO HELPS YOU HUSTLE, NOT WHO WATCHES YOU STRUGGLE" kwa kikwetu sijajua wanamaanisha nini
Hajapewa hata bill kasikia tu kuna habari za bill tayari kajaa tehMkuu kapewa bili analia![]()
😀😀😀Tatizo wengi wao humu hawana hadhi ya kutumiwa iyo laki..ilitakiwa wenyewe ndo wawatumie hao wanaume hiyo laki...ukweli lazima usemwe
Good approach kabla ya muamalaAngeanza na mesej ya muamala uliofanikiwa,
Nitume nigundue nini kwanini yaani....kuna kipi nisichokijua za humu jf zina tv ndani???
Tuma mzigo huo sio kulalamika huku
Access denied. Nitakupiga kipapaiNgoja mi niende kwanza au vp
Asee km kweli vile,yaan km umenisoma ungeleewa!sijjasema mm nikutegemee wewe kwa kila kitu...point iliopo hapa ni jinsi ya kumuwin mwanamke fast..mm hustle zangu ht ww huweki pua... ila tunapenda kuwa aprecciated.. unajua huyu mwanamke anajiweza na ww unamtaka!kwan ukimpa zawad itakucost nn ww..! ala!
mbona povu kaka!hahahaha!kwan umelazimishwa kuja pande hii my dear!poyeeeNitume nigundue nini kwanini yaani....kuna kipi nisichokijua za humu jf zina tv ndani???
Sasa si ndo akaanza na xaxa kipande ip, mixhe znaxomaGood approach kabla ya muamala



Tupe na kapicha basi tuunge mkono hojaTatizo wengi wao humu hawana hadhi ya kutumiwa iyo laki..ilitakiwa wenyewe ndo wawatumie hao wanaume hiyo laki...ukweli lazima usemwe

