Jinsi watu wanavyotongozana JF

Jinsi watu wanavyotongozana JF

Halafu hajua kama hao hao wanawake anaowabebisha wakikutana wanaanza kuambiana ujue flani hivi na mm flani hivi anabaki anachorwa tu shikamoo jf
ana notibuku ya kuorodhoshe aliowala na asiowala...

Pesa hiziii..mwanaharamuu!!!tunaliwa km vyoteeee
 
Nimekumiss mama mchungaji
Nakupenda
Yesu azidi kukulinda na kukutunza kwa damu yake.
Jamani jamani muumini (teh sipati picha hilo kanisa), kamessage kako kameugusa mno moyo wangu. Nakupenda pia na Damu ya Yesu iendelee kunena mema juu yako
 
Back
Top Bottom