Jinsi watu wanavyotongozana JF

Jinsi watu wanavyotongozana JF

Halafu hajua kama hao hao wanawake anaowabebisha wakikutana wanaanza kuambiana ujue flani hivi na mm flani hivi anabaki anachorwa tu shikamoo jf
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] ana notibuku ya kuorodhoshe aliowala na asiowala...

Pesa hiziii..mwanaharamuu!!!tunaliwa km vyoteeee
 
Nimekumiss mama mchungaji
Nakupenda [emoji8][emoji8]
Yesu azidi kukulinda na kukutunza kwa damu yake. [emoji120]
Jamani jamani muumini (teh sipati picha hilo kanisa), kamessage kako kameugusa mno moyo wangu. Nakupenda pia na Damu ya Yesu iendelee kunena mema juu yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom