Jinsi watu wanavyotongozana JF

Jinsi watu wanavyotongozana JF

Woyoooooooooo
Nitake nn shunie mm babe insta
Kabla haujazama mm nitakuja mwenyewe
ulafi wa kujaribu vitu siunajua tena mambo ya fantasy nikasema siwezi kuondoka huku bila kuonja kumbe kuna maajabu yananisubiri ..... usiwaze insta bebe nikienda tena nahisi ndio itakuwa mara ya kwanza nazama PM ntakuuliza zawadi unayotaka
 
Mkuu uko vizuri
"Ukiwa na pesa utasifiwa kitambii
Baby me I like that
Nakukupamba kwenye simu, video snapchaat.
Kumbe hana maana hadi Mangii anamwita sweetheart
Kisa anakesha gym, kutafuta six packs

Unaiibiiwa
Unaibiiiwa

Unaibiiwa
Unaibiiwa"
 
ulafi wa kujaribu vitu siunajua tena mambo ya fantasy nikasema siwezi kuondoka huku bila kuonja kumbe kuna maajabu yananisubiri ..... usiwaze insta bebe nikienda tena nahisi ndio itakuwa mara ya kwanza nazama PM ntakuuliza zawadi unayotaka
Halafu babe insta acha kujaribu jaribu kila kitu unataka kujaribu
 
Sijawahi kupigwa kibuti hapa JF sababu sijawahi kutongoza mtu hapa JF.

You can't lose a fight if you don't fight at all.

We kwa sisi wazee wa pori na mapambano,huwa mnabaki kambini kuhudumia kambi,kupika,kufua na kuosha vyombo ,Hahaha
 
Back
Top Bottom