Jinsi watu wanavyotongozana JF

Jinsi watu wanavyotongozana JF

Woyoooooooooo
Nitake nn shunie mm babe insta
Kabla haujazama mm nitakuja mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulafi wa kujaribu vitu siunajua tena mambo ya fantasy nikasema siwezi kuondoka huku bila kuonja kumbe kuna maajabu yananisubiri [emoji23][emoji23][emoji23]..... usiwaze insta bebe nikienda tena nahisi ndio itakuwa mara ya kwanza nazama PM ntakuuliza zawadi unayotaka [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu uko vizuri
"Ukiwa na pesa utasifiwa kitambii
Baby me I like that
Nakukupamba kwenye simu, video snapchaat.
Kumbe hana maana hadi Mangii anamwita sweetheart
Kisa anakesha gym, kutafuta six packs

Unaiibiiwa
Unaibiiiwa

Unaibiiwa
Unaibiiwa"
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulafi wa kujaribu vitu siunajua tena mambo ya fantasy nikasema siwezi kuondoka huku bila kuonja kumbe kuna maajabu yananisubiri [emoji23][emoji23][emoji23]..... usiwaze insta bebe nikienda tena nahisi ndio itakuwa mara ya kwanza nazama PM ntakuuliza zawadi unayotaka [emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu babe insta acha kujaribu jaribu kila kitu unataka kujaribu
 
Sijawahi kupigwa kibuti hapa JF sababu sijawahi kutongoza mtu hapa JF.

You can't lose a fight if you don't fight at all.

[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
We kwa sisi wazee wa pori na mapambano,huwa mnabaki kambini kuhudumia kambi,kupika,kufua na kuosha vyombo ,Hahaha
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yaan mm sijui nimerogwa kuhusu pm naweza nikafungua haipiti nusu saa nafunga

We uliyeniroga kuhusu pm ulaanike sana nakosa mahela mm
Pm hukoo we funga tuu!!watu wanamwaga helaa kama zotee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo hao wanaomwaga mahela nini??
Wewe!mafataki ya humu wana mbinuuuu...acha km za praimari zile ukinywa maji nakuona kwenye glass!!masihara unaingia kingii[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom