Jimmie Gatsby
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 3,588
- 7,288
kule balaa ulafi wangu ulinitokea puani 😂😂😂Hahhahah
Nimeziona aiseee kila mashoga yamejaa sana
kule balaa ulafi wangu ulinitokea puani 😂😂😂Hahhahah
Nimeziona aiseee kila mashoga yamejaa sana
Binamu kufunga Pm ni kupishana na gari ya mshaharaaa!!![emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Mi hakuwahi nipa likes wala nini zaidi ya kusoma nyuzi zangu nilivyofungua uzi wa hamorapa tu akanifata pm,najiuliza ningekuwa nimefunga pm ningempataje jamanii alhamdulillah
Halafu anatambo huyo,sema yule dada anajua kung'ang'ania jamaniUle uzi jamani mmoja hakubali kuachika new babe ndio kashikilia
Kweli wanazimwagia wapi hayo mahela nataka na mm waambie uko[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] halafu hivi uliletewa kadi ya harusii bestiiii
Umeanza[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!!!!
kule balaa ulafi wangu ulinitokea puani [emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu anatambo huyo,sema yule dada anajua kung'ang'ania jamani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji2] mmekula nini Leo!Hahahhah ukiachika achikaaaa sio ung'ang'ania hutakiwi
Aolewe wapiii!!![emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]wote walichezewa tuuu!!!Kwani bi mdogo aliolewa kweli
😂😂😂😂 ulafi wa kujaribu vitu siunajua tena mambo ya fantasy nikasema siwezi kuondoka huku bila kuonja kumbe kuna maajabu yananisubiri 😂😂😂..... usiwaze insta bebe nikienda tena nahisi ndio itakuwa mara ya kwanza nazama PM ntakuuliza zawadi unayotaka 😂😂😂Babe insta kumbe we mlafi eenh ukienda tena usisahau kuniletea zawadi
Pm hukoo we funga tuu!!watu wanamwaga helaa kama zoteeKweli wanazimwagia wapi hayo mahela nataka na mm waambie uko
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji2] mmekula nini Leo!
Kama nampenda je?
Kama rubaaa!![emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Halafu anatambo huyo,sema yule dada anajua kung'ang'ania jamani
Mmhh!siwaelewe huuu ubebe!!ujuee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulafi wa kujaribu vitu siunajua tena mambo ya fantasy nikasema siwezi kuondoka huku bila kuonja kumbe kuna maajabu yananisubiri [emoji23][emoji23][emoji23]..... usiwaze insta bebe nikienda tena nahisi ndio itakuwa mara ya kwanza nazama PM ntakuuliza zawadi unayotaka [emoji23][emoji23][emoji23]
Aolewe wapiii!!![emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]wote walichezewa tuuu!!!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] mbona kojooo!!!watu full kung'ang'ania jamaniiUnampenda mtu hakupendi mnywee kojo umsahau we dada ebu niache
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]haachiki mtu unapambana tuHahahhah ukiachika achikaaaa sio unang'ang'ania hutakiwi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamaa nyoko kweliAolewe wapiii!!![emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]wote walichezewa tuuu!!!