Zingzingzing
JF-Expert Member
- May 13, 2014
- 655
- 604
Habari za asubuh ndugu wana jf.
Leo nimekuja kutoa mikasa miwili mitatu jinsi watu wa mikoani tunavyofanyiwa pale tunapoagiza bidhaa toka huko dar es laam.
KISA CHA KWANZA niliwah ona page 1 ya facebook & instagram ambayo inapost nguo nzuri sana za dukani hasa mashati, kwakua nilipenda basi nikachukua namba yao nikaagiza shati 4 kutokana na picha ya shati nilizozipenda basi nikawatumia whatsap waone zile shati 4 alafu wanitumie mzigo had mkoa nilipo.
NIkawatumia pesa kamili ya mzigo ila pesa ya usafiri nililipa nilipochukua mzgo. Kuja kutahamaki katika zile shat 4 nilizotuma picha anitumie ni shat 1 tu ndio niliyochagua na nyingine 3 ni shati tofauti kabisa yani mara nyingne oversize,nyngne ipo vile, nilivyompigia hakuweza kupokea tena simu.
KISA CHA PILI, nilipata mtu anayeuza simu dar , nikaagiza simu samsung a24 , ram 6 ,rom 128, nilimtumia pesa kamili ya simu na pesa ya transport, ila nilipopokea simu nilikuta ni RAM 4 rom 128, japo ni simu mpya na ni nzuri ila alileta ulaghai kwenye Ram kadr ya tulipokubaliana, nilipompigia nae hakuwa na jibu.
Hivyo basi, wafanyabiashara wa daslama, tunaomba muwe mnaenda ndani ya makubaliano, sio kila mtu anaweza kufika dar au ana ndugu dar.
Leo nimekuja kutoa mikasa miwili mitatu jinsi watu wa mikoani tunavyofanyiwa pale tunapoagiza bidhaa toka huko dar es laam.
KISA CHA KWANZA niliwah ona page 1 ya facebook & instagram ambayo inapost nguo nzuri sana za dukani hasa mashati, kwakua nilipenda basi nikachukua namba yao nikaagiza shati 4 kutokana na picha ya shati nilizozipenda basi nikawatumia whatsap waone zile shati 4 alafu wanitumie mzigo had mkoa nilipo.
NIkawatumia pesa kamili ya mzigo ila pesa ya usafiri nililipa nilipochukua mzgo. Kuja kutahamaki katika zile shat 4 nilizotuma picha anitumie ni shat 1 tu ndio niliyochagua na nyingine 3 ni shati tofauti kabisa yani mara nyingne oversize,nyngne ipo vile, nilivyompigia hakuweza kupokea tena simu.
KISA CHA PILI, nilipata mtu anayeuza simu dar , nikaagiza simu samsung a24 , ram 6 ,rom 128, nilimtumia pesa kamili ya simu na pesa ya transport, ila nilipopokea simu nilikuta ni RAM 4 rom 128, japo ni simu mpya na ni nzuri ila alileta ulaghai kwenye Ram kadr ya tulipokubaliana, nilipompigia nae hakuwa na jibu.
Hivyo basi, wafanyabiashara wa daslama, tunaomba muwe mnaenda ndani ya makubaliano, sio kila mtu anaweza kufika dar au ana ndugu dar.