Wonderful
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 7,347
- 6,000
Kwahiyo ata huyu miss chagga nae ni usalama?ebu kuweni serious bac lol!!
Akili fupi hii mie siye wa kutishwa wewe na utaahira wako fanya ubuku 7 wako kama ulidhani utanitisha mie basi umekula wachuya utasubiri sana.
You are deadly right pal....take it from me... you cannot hide, wakiamu kuku trackdown watakupata tu ...
Nimecheka sana hapaa aisee. Eti DK ngaguMkuu njia ngingine wanatumia uganga. Wanajifanya waganga wa tiba mbadala. Mwafaaaa.
Kwa hiyo mkuu hata humu JF wapo wanatuona vizuri tu??
kama nanii?vipi kuhusu hawa wanaomba namba ya simu eti muwe mnashea aidia kwa wasapu. Inakuaje mtu humfahamu anakuomba namba ya simu mitandaoni muwe mnajadiliana mambo mbalimbali? Kuna wanaofuatilia thread au comment mwisho unaombwa namba ya simu kwa kusifiwa eti unajua kuchangia na kuchambua mijadala mitandaoni
Hawa wanaojuana na kukutana nahisi ni wao hao hao "wasiojulikana" Mi huwa nashangaa jinsi wanavyofahamiana na kukutana mara kadhaa hasa Dar.Pia nimesikia mara kadhaa mtu anafika Mwanza na kuwaalika wana jf eti wafahamiane!Mambo yalivyo sasa hivi hata ukisema tu hadharani simpendi Rais hiyo kesi sidhani kama itakuwa na dhamana!Hata kama unamaanisha rais wa tff maana hadi ijulikane hivyo utakuwa umekaa jela muda wa kutosha.Kama tu kwenda kuchangia damu hospitali ni kosa la jinai,basi lazima watu wawe na hofu kubwa ya maisha yao.tutachat,tutataniana,tutaflirt hapa and everything ila namba yangu sijawahi fikiria kutoa...
na wala mazoea ya kujuana sana NO...coz i trust no one...
labda uniloge kutumia avatar yangu[emoji27]...ila no way hutaweza pia[emoji38]..i gat Jesus...
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] . . , mbavu zangu mkuu . . [emoji109]Hawa wanaojuana na kukutana nahisi ni wao hao hao "wasiojulikana" Mi huwa nashangaa jinsi wanavyofahamiana na kukutana mara kadhaa hasa Dar.Pia nimesikia mara kadhaa mtu anafika Mwanza na kuwaalika wana jf eti wafahamiane!Mambo yalivyo sasa hivi hata ukisema tu hadharani simpendi Rais hiyo kesi sidhani kama itakuwa na dhamana!Hata kama unamaanisha rais wa tff maana hadi ijulikane hivyo utakuwa umekaa jela muda wa kutosha.Kama tu kwenda kuchangia damu hospitali ni kosa la jinai,basi lazima watu wawe na hofu kubwa ya maisha yao.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] hatari mkuu..Magufuli alisema mko uchi kwenye email anawafuatilia
Hatari sana kumbe[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] hatari mkuu..
Huku inabidi uwe makini tu kwa unavyopostHatari sana kumbe
Unaamini ?[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] hatari mkuu..
Wanasema lisemwalo lipoUnaamini ?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huendaKwahiyo ata huyu miss chagga nae ni usalama?ebu kuweni serious bac lol!!
Jinsi wanausalama wa mtandaoni wanavyowapata watuHuku inabidi uwe makini tu kwa unavyopost
Hahahah[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huenda