Jinsi Vimbunga/Dhoruba (Hurricanes/Storm) vinavyopewa Majina

Swali la msingi kwanini vinapewa ya kike kuanzia mwaka 1950 (sahihi ni 1953).

Majina hutolewa na 'watabiri wa hali ya hewa' meteorologists. Sababu ya kutoa majina ni kuwa kwa msimu mmoja kunaweza kuwa na hurricanes au storms nyingi na hivyo itarahisisha utambuzi. Kama nipo sahihi hurricanes ni dhoruba na storms ni vimbunga. upo uwezekano wa kupanda au kushuka daraja kutoka hurricanes hadi storms. Mfano hiki cha Irene kilikuwa ni Hurricanes lakini kilipotua New York nguvu ikawa imepungua nakuwa storm category 1.

Majina hutolewa ili kueleweka kile kinachozungumziwa(mfano ukisema Catrina tunajua ni kile cha Louisiana cha mwaka 2007?)
Majina hutolewa kwa kufuata alphabet, chakwanza kila mwaka kikianza na herufi A n.k

Kimbunga cha kwanza(unofficial named) in US kiliitwa George kikafuatiwa na Bess kilichopewa jina la first lady wa president Truman. Hadi vita kuu ya pili kulikuwa hakuna utaratibu wa majina officially.
Kuanzia mwaka 1979 majina yamekuwa yanabalishana kati ya wanaume na wanawake.
Kati ya 1953-1979 ni majina ya kike tu yaliyokuwa yanatumika kwa kuwa hakukuwa na utaratibu maalumu. Ni process iliyokuwa ina evolve na haikuwa wazi ila kwa meterologists kama unavyoweza kuuliza kama chakwanza katika msimu kitaitwa Alice kwanini kisiitwe Alphonsina.


senti sumuni yangu
 
Majina ya VimbungaVimbunga hutokea mara kwa mara katika kipindi cha joto. Wataalamu wameanza kuvipa majina kwa kurahisisha maelewano. Katika eneo la kila bahari kuna utaratibu wa pekee wa kutolea majina kwa vimbunga kufuatana na mapatano ya wanasayansi.
Atlantikiinaona takriban vimbunga kumi au zaidi kila mwaka. Hupewa majina kufuatana alfabeti. Imekuwa kawaida tangu 1979kutumia majina ya kiume na ya kike kwa kubadilishana (zamani vilipewa majina ya kike tu lakini wanawake walilalamika).
Wataalamu wanatumia orodha sita ya majina hivyo jina linaweza kurudia baada ya miaka sita.
Kimbunga ya "Katrina" kilichoharibu mji wa New Orleans katika Agosti 2005 kilikuwa kimbunga cha 11 cha mwaka 2005. Kilifuata kimbunga "Jose" na kufuatwa na "Lee" halafu "Maria". Kama kimbunga inasababisha uharibifu mkubwa sana jina lake huondolewa katika orodha maana yake jina hili halitarudia. "Katrina" imebadilishwa kuwa "Katia" katika orodha ya mwaka itakayotumika mwaka 2011 (ikitokea itakuwa kimbunga kinachofuata "Jose" ya 2011)
 
kina dada wengi wameskip hii mada maoni yao ni muhimu pia.kina husninyo,ladyg,lizzy na wengineo
 
babuyao hapo umeua kabisa, hii kali, wanasema mnaomiliki bastola ndani mkeo asijue manake siku akikasirika atakushuti kabisa hawajui kukontrol hasira zao na anatamani afanye kitu kikubwa kumaliza hasira yake hasa pale anapokuwa hajatoa machozi.
...Lokissa, umenikumbusha kuna siku my wife alikuta sms ya kwenye simu yangu kiukweli ilitoka kwa demu mwingine lilikuwa kosa la kiufundi kwa kawaida nikichat na vicheche sms na-delete zote lakini siku hiyo nadhani ndio ilikuwa 40 yenyewe mshikaji anapenda kupekua pekua smu yangu mazee sms ilikuwa imesheheni maneno makali ya mapenzi baada ya majibizano ya hapa na pale nikasikia kasimu kamebamizwa chini pwaaaa!!! kila k2 kule. Na chakula cha usiku nikanyimwa wikii nzima naambiwa nenda huko huko. HAwa watu balaa!!!
 
longolongo tuuu! mbona majibu hamna?
Hi ni suala la kiufundi tu na halina mchango wa kijinsia kwasababu yoyote. Endapo lina maana zaidi ya education nitakuwa nimetoka nje ya mada. Hata kama lina uhusiano na akina mama uhusiano huo utakuwa wa kawaida kabisa na wao wanawake kama sisi wanaume pengine wangetaka kujua kama tunavyotaka. Sidhani kama kuna ulazima wa wao kuandika tu chochote ili mradi majina yamenasibishwa na jinsia zao. Tuwe fair!

Vimbunga na dhoruba zimekuwepo karne nyingi, lakini ni kuanzia vita kuu ya pili ndipo vilipoanza kupewa majina. Majina yametolewa kwanza kwa mwananume ambalo halikuwa rasmi halafu kwa first lady wa rais Truman wa US. Baada ya hapo mambo yakawa yanakwenda bila formula na mwaka 1953 -1979 yakawa yanatumika majina ya wanawake, halafu utaratibu ukabadillika kwa kupokezana majina kati ya wanawake na wanaume. Kisha ikawekwa kanuni ya jina la kwanza katika msimu na kuendelea

Hayo yote yanafanywa na meterologists kwa maana ya kuwa na kanuni ya kutambua vimbunga. Ndiyo maana nimesema ni process inayoendelea ku evolve haina scientific fromula. Hata wanapochagua majina wana utaratibu wao, haijulikani nani anataja. La muhimu ni sisi kukubali majina na taratibu zao.
 
Kimbunga tayari, mafuriko tayari, sasa tunasubiri tetemeko la ardhi. America kwisha. Bakora YA Mungu inafanya kazi yake. ELIJA MUHAMMAD alipata kusema maneno haya.
 
longolongo tuuu! mbona majibu hamna?



bora tumuulize dr agness kijazi, hili ni suala la kitaalam, mwaka 2003 or 2004 upande wa sub saharan countries, tanzania ilikuwa zamu yake kutoa jina ikatoa Kalunde. watu wa tabora, rukwa, katavi, mwanza na shinyanga wanaweza kuelewa why kalunde
 
Hata katika maswala ya kiroho, yule pepo wa machafuko ya bahari anaitwa 'malkia wa bahari' hii nayo inahusisha jinsia ya kike.
.
 
Zamani vimbunga vilikuwa na majina ya kike tu lakini baadae vikaanza kujumuisha majina ya kiume pia. Kuna hurricane Chris kwa mfano.

Bahati mbaya inasadifu kuwa vimbunga vikali vimetokea vikiwa na majina ya kike kwa miaka hii ya karibuni.

Gustav, Omar etc
 
In the current naming system, all letters are used, alphabetically, except for Q, U and Z. Atlantic Ocean hurricanes get English, French or Spanish names in a nod to the countries bordering the ocean. The WMO now uses six lists of hurricane names that are rotated. When a storm causes particular suffering, that name is retired and another one added at the WMO's annual meeting. You may easily recognize the disaster associated with some of the retired names: Andrew, Hugo, Camille, Katrina.
If more than 21 named storms rip through the Atlantic in one season, the list goes Greek: Alpha, Beta, Gamma, and down the alphabet. The names lined up for 2010 are:
Arlene
Bret
Cindy
Don
Emily
Franklin
Gert
Harvey
Irene
Jose
Katia
Lee
Maria
Nate
Ophelia
Philippe
Rina
Sean
Tammy
Vince
Whitney
The list for the Eastern Northern Pacific storms -- for example, hurricanes that threaten Mexico -- for 2011 is:
Adrian
Beatriz
Calvin
Dora
Eugene
Fernanda
Greg
Hilary
Irwin
Jova
Kenneth
Lidia
Max
Norma
Otis
Pilar
Ramon
Selma
Todd
Veronica
Wiley
Xina
York
Zelda



[h=3]2012 Hurricane Names[/h] Alberto
Beryl
Chris
Debby
Ernesto
Florence
Gordon
Helene
Isaac
Joyce
Kirk
Leslie
Michael
Nadine
Oscar
Patty
Rafael
Sandy
Tony
Valerie
William
 
[h=3]History of Atlantic Hurricane Names[/h]

Names have been given to Atlantic hurricanes for a few hundred years. People living in the Caribbean islands named storms after the saint of the day from the Roman Catholic liturgical calendar for the day on which the hurricane occurred such as "Hurricane San Felipe". When two hurricanes struck on the same date in different years the hurricanes would be referred to by names such as "Hurricane San Felipe the first" and "Hurricane San Felipe the second".

In the early days of meteorology in the United States storms were named with a latitude / longitude designation representing the location where the storm originated. These names were difficult to remember, difficult to communicate and subject to errors. During the Second World War military meteorologists working in the Pacific began to use women's names for storms. That naming method made communication so easy that in 1953 it was adopted by the National Hurricane Center for use on storms originating in the Atlantic Ocean. Once this practice started, hurricane names quickly became part of common language and public awareness of hurricanes increased dramatically.

In 1978, meteorologists watching storms in the Eastern North Pacific began using men's names for half of the storms. Meteorologists for the Atlantic ocean began using men's names in 1979. For each year, a list of 21 names, each starting with a different letter of the alphabet was developed and arranged in alphabetical order (names beginning with the letters Q, U, X, Y and Z were not used). The first tropical storm of the year was given the name beginning with the letter "A", the second with the letter "B" and so on through the alphabet. During even-numbered years, men's names were given to the odd-numbered storms and during odd-numbered years, women's names were given to even-numbered storms (see the table above for recent name lists).

Today, the World Meteorological Organization maintains the lists of Atlantic hurricane names. They have six lists which are reused every six years.

Hurricane Names - How are Hurricanes Named?
 
wadau nimekaa na kutafakari sijapata jibu ni kwanini haya majanga ya kimbunga na mafuriko yanayotokea zaidi marekani tangu miaka ya 1950 hadi hivi leo yanapewa majina ya kike kama KATRINA,ALICE,NK kwa sasa kilichotokea wekend hii wamekiita IRENE. mwenye ufahamu atujuze ni kwanini?
<br />
<br />
Ni namna tu ya kupunguza mfumo DUME, ndio maana hata meli, nchi, nk, tunatumia her au she. Kweli wala sio urongo.
 
longolongo tuuu! mbona majibu hamna?

Tulia watu wanaendelea kukupa mwanga,haraka ya nini

Majina ya VimbungaVimbunga hutokea mara kwa mara katika kipindi cha joto. Wataalamu wameanza kuvipa majina kwa kurahisisha maelewano. Katika eneo la kila bahari kuna utaratibu wa pekee wa kutolea majina kwa vimbunga kufuatana na mapatano ya wanasayansi.
Atlantikiinaona takriban vimbunga kumi au zaidi kila mwaka. Hupewa majina kufuatana alfabeti. Imekuwa kawaida tangu 1979kutumia majina ya kiume na ya kike kwa kubadilishana (zamani vilipewa majina ya kike tu lakini wanawake walilalamika).
Wataalamu wanatumia orodha sita ya majina hivyo jina linaweza kurudia baada ya miaka sita.
Kimbunga ya "Katrina" kilichoharibu mji wa New Orleans katika Agosti 2005 kilikuwa kimbunga cha 11 cha mwaka 2005. Kilifuata kimbunga "Jose" na kufuatwa na "Lee" halafu "Maria". Kama kimbunga inasababisha uharibifu mkubwa sana jina lake huondolewa katika orodha maana yake jina hili halitarudia. "Katrina" imebadilishwa kuwa "Katia" katika orodha ya mwaka itakayotumika mwaka 2011 (ikitokea itakuwa kimbunga kinachofuata "Jose" ya 2011)
 
Back
Top Bottom