mbavu zanguMi ninavyofahamu vimbunga vyote huwa vina majina ya kike-rita,katrina,sasha sababu yangu binafsi isiyokuwa na utaalamu wowote ni kuwa mwanamke ndo chanzo cha majanga yote duniani!
Mi ninavyofahamu vimbunga vyote huwa vina majina ya kike-rita,katrina,sasha sababu yangu binafsi isiyokuwa na utaalamu wowote ni kuwa mwanamke ndo chanzo cha majanga yote duniani!
na kuna kingine kinakuja pwani ya Afrika mashariki kinaitwa KajalaMi ninavyofahamu vimbunga vyote huwa vina majina ya kike-rita,katrina,sasha sababu yangu binafsi isiyokuwa na utaalamu wowote ni kuwa mwanamke ndo chanzo cha majanga yote duniani!
Kwa udondozi zaidi zuru hapaBaada ya hiki Mathew kinachofuata kitakuwa na herufi N mwanzo.
Kumbe ndo maana waziri mkuu kakimbilia Dodoma mapemaaa!na kuna kingine kinakuja pwani ya Afrika mashariki kinaitwa Kajala
wadau nimekaa na kutafakari sijapata jibu ni kwanini haya majanga ya kimbunga na mafuriko yanayotokea zaidi marekani tangu miaka ya 1950 hadi hivi leo yanapewa majina ya kike kama KATRINA,ALICE,NK kwa sasa kilichotokea wekend hii wamekiita IRENE. mwenye ufahamu atujuze ni kwanini?