Kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza haya majina ya vimbunga. Mfano hicho kimbunga huko Nchini Zambia kinaitwa FREDDY miaka ya Nyuma kulitokea vimbunga Nchini Marekani wajuvi wanapenda kupaita U.S.A vimbunga vilikuwa na majina Catalina na mengine nimesahau.
Hoja yangu ni kwa nini vimbunga hivi hupewa majina kama ya binadamu vile na je kwa nini majanga mengine huwa hayapewi majina mfano matetemeko ya ardhi, mvua , ukame n.k japo huwa nasikia kipimo cha Tetemeko lenye ukubwa wa kipimo cha litcher kiasi fulani, wale wajuzi wasomi nipeni kupata uelewa wa hayo majina ya vimbunga yanapatikana vipi, ila wale wasio na uelewa watakuja na majibu ya mara usiwe unaandika kama unakimbizwa n.k nawasilisha kwenu
Hoja yangu ni kwa nini vimbunga hivi hupewa majina kama ya binadamu vile na je kwa nini majanga mengine huwa hayapewi majina mfano matetemeko ya ardhi, mvua , ukame n.k japo huwa nasikia kipimo cha Tetemeko lenye ukubwa wa kipimo cha litcher kiasi fulani, wale wajuzi wasomi nipeni kupata uelewa wa hayo majina ya vimbunga yanapatikana vipi, ila wale wasio na uelewa watakuja na majibu ya mara usiwe unaandika kama unakimbizwa n.k nawasilisha kwenu