Usitoe majibu ya jumla kama hivi, hutaeleweka!
argument yako umetumia poor reasoning...
fallacy yako ni that of distraction ume fail kuprove conclusion kwasababu ya irrelevant evidence instead u've let your emotions do your argument
u've come about the fallacy intentionally to manupulate us! well that might be due to your carelessness au IGNORANCE chagua
Mkuu Mzee Mwanakijiji:
Nadhani una fahamu kwamba Nyerere alijiuzulu muda sio mrefu baada ya kuteuliwa kuwa mjumbe wa baraza la kutunga sheria kwa hoja kwamba mazingira yale hayakumtendea haki kusimamia maslahi ya wananchi walio wengi - kwa maana ya kwamba mfumo mzima wa kisheria na kiutawala kwa ujumla haukuwa ukiangalia maslahi wa walio wengi (watanganyika weusi) hivyo asingeweza kuwatumikia wananchi hawa kupitia sheria na mfumo ule.
I would feel that I am cheating the people and cheating my own organization if I remained on the Council, receiving allowances and attending sundowners as an Honorable Member, giving the impression that I was still of some service on that Council, when in fact I know that I am useless!
argument yako umetumia poor reasoning...
fallacy yako ni that of distraction ume fail kuprove conclusion kwasababu ya irrelevant evidence instead u've let your emotions do your argument
u've come about the fallacy intentionally to manupulate us! well that might be due to your carelessness au IGNORANCE chagua
Mkuu, umeua, harudi tena na kama akirudi hatatoa jibu la kueleweka zaidi ya povu na hasira za kufukuzwa umod.
I would feel that I am cheating the people and cheating my own organization if I remained on the Council, receiving allowances and attending sundowners as an Honorable Member, giving the impression that I was still of some service on that Council, when in fact I know that I am useless!
Jifunze kwa Mzee Mwanakijiji au Mchambuzi wanavyojibu hoja kwa hoja na wala si kwa kejeli na dharau kama zenu! Tuheshimiane hata kama hatukubaliani. Sio lazima watu wote tuwe na mawazo sawa, ndivyo Mungu alivyotuumba!
Sitabomoa hiyo nyumba, yaani kwa upande wa Muungano sitauvunja bali "nitapigilia msumari!" Kwa "Mwanasheria Nguli" atakuambia hiyo nyumba ni BATILI tuivunje!
Nimegundua ata we uelewa wako NIBATILI maana hujaelewa Lisu aliyokuwa anaongea! mi nakubaliana na hotuba ya Lissu kwamba muungano wetu ni batili maana kama usingekuwa batili Nyerere angepeleka hati ya muungano umoja Wa mataifa
Another stupid thread....
Sheria ya Vyama vya Siasa ni ya mwaka 1992, Sheria ya Elimu ni ya Mwaka 1978, xote ni baada ya Muungano! Sheria ya Vyuo Vikuu ni ya Mwaka 2005 kama sikosei, hiyo nayo ni ya baada ya Muungano!
Kama unataka tuanze upya sijui unamaanisha tuanzeje maana Sheria iliyoanzisha Bunge Maalum la Katiba nayo ni BATILI maana imetungwa na Bunge la Muungano BATILI!
Yaani kwa kifupi Lissu angejua athari za kauli yake mapema asingefungua mdomo wake aisee!